Kumbukumbu La Torati 30

Mafanikio Baada Ya Kumgeukia Bwana 1 Wakati baraka hizi zote pamoja na laana nilizoziweka mbele yako zitakapokujia, nawe ukazitafakari moyoni popoteBwanaMungu wako atakapokutawanya miongoni mwa mataifa, 2 hapo wewe na watoto wako mtakapomrudiaBwanaMungu wako, na kumtii kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote kulingana na kila kitu ninachokuamuru leo, 3 ndipoBwanaMungu wako atakapokurudisha […]

Kumbukumbu La Torati 31

Yoshua Kutawala Baada Ya Mose 1 Kisha Mose akaenda akasema maneno haya kwa Waisraeli wote: 2 “Sasa nina miaka mia moja na ishirini nami siwezi tena kuwaongoza.Bwanaameniambia, ‘Hutavuka Yordani.’ 3 BwanaMungu wenu, yeye mwenyewe atavuka mbele yenu. Ataangamiza mataifa haya mbele yenu, nanyi mtaimiliki nchi yao. Pia Yoshua atavuka mbele yenu, kamaBwanaalivyosema. 4 NayeBwanaatawafanyia watu […]

Hesabu 1

Watu Wahesabiwa Kwa Mara Ya Kwanza 1 Bwanaalisema na Mose katika Jangwa la Sinai, katika Hema la Kukutania, siku ya kwanza ya mwezi wa pili, katika mwaka wa pili baada ya Waisraeli kutoka nchi ya Misri. Akamwambia, 2 “Hesabu watu wa jumuiya yote ya Waisraeli kwa kufuata koo zao na jamaa zao, ukiorodhesha kila mwanaume […]

Hesabu 2

Mpangilio Wa Kambi Za Makabila 1 Bwanaaliwaambia Mose na Aroni: 2 “Waisraeli watapiga kambi zao kuzunguka Hema la Kukutania kwa umbali fulani kutoka kwenye hema, kila mwanaume chini ya alama yake pamoja na bendera ya jamaa yake.” 3 Kwa upande wa mashariki kuelekea maawio ya jua, kambi ya makundi ya Yuda watapiga kambi chini ya […]

Hesabu 3

Walawi 1 Hii ni hesabu ya jamaa ya Aroni na Mose kwa wakati uleBwanaalipozungumza na Mose, katika Mlima Sinai. 2 Majina ya wana wa Aroni yalikuwa: Nadabu mzaliwa wa kwanza na Abihu, Eleazari na Ithamari. 3 Hayo yalikuwa majina ya wana wa Aroni, makuhani wapakwa mafuta, ambao walikuwa wamesimikwa kuhudumu kama makuhani. 4 Hata hivyo […]

Hesabu 4

Wakohathi 1 Bwanaakawaambia Mose na Aroni, 2 “Wahesabu Wakohathi walio sehemu ya Walawi kwa koo zao na jamaa zao. 3 Wahesabu wanaume wote wenye umri wa miaka thelathini hadi hamsini wanaokuja kutumika katika kazi ya Hema la Kukutania. 4 “Hii ndiyo kazi ya Wakohathi katika Hema la Kukutania: Watatunza vitu vilivyo vitakatifu sana. 5 Wakati […]