Sadaka Za Nyongeza 1 Bwanaakamwambia Mose, 2 “Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Baada ya ninyi kuingia katika nchi ninayowapa kama nyumbani, 3 nanyi mkitoa sadaka za kuteketezwa kwa moto, kutoka katika makundi ya ng’ombe au kondoo, kama harufu nzuri inayompendezaBwana, ikiwa ni sadaka za kuteketezwa au dhabihu, kwa ajili ya nadhiri maalum ama sadaka ya hiari […]
Monthly Archives: July 2017
Hesabu 16
Kora, Dathani Na Abiramu 1 Kora mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, pamoja na baadhi ya Wareubeni, yaani Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu, na Oni mwana wa Palethi, wakachukua baadhi ya watu, 2 wakainuka dhidi ya Mose. Pamoja nao walikuwapo wanaume wa Kiisraeli 250, watu waliojulikana, viongozi wa jumuiya waliokuwa wameteuliwa […]
Hesabu 17
Kuchipuka Kwa Fimbo Ya Aroni 1 Bwanaakamwambia Mose, 2 “Sema na Waisraeli, na ujipatie fimbo kumi na mbili kutoka kwao, moja kutoka kwa kila mmoja wa viongozi wa kabila za baba zao. Andika jina la kila mtu kwenye fimbo yake. 3 Kwenye fimbo ya Lawi andika jina la Aroni, kwa maana ni lazima iwepo fimbo […]
Hesabu 18
Wajibu Wa Makuhani Na Walawi 1 Bwanaakamwambia Aroni, “Wewe, wanao na jamaa ya baba yako mtawajibika kwa makosa dhidi ya mahali patakatifu, wewe na wanao peke yenu ndio mtakaowajibika kwa makosa dhidi ya ukuhani. 2 Walete Walawi wenzako kutoka kabila la baba zako ili waungane nanyi na kuwasaidia wakati wewe na wanao mnapohudumu mbele ya […]
Hesabu 19
Maji Ya Utakaso 1 Bwanaakamwambia Mose na Aroni: 2 “Hivi ndivyo sheria ambayoBwanaameagiza itakavyo: Waambie Waisraeli wakuletee mtamba mwekundu asiye na dosari wala waa na ambaye hajapata kufungwa nira. 3 Mpeni kuhani Eleazari huyo mtamba; naye atatolewa nje ya kambi na kuchinjwa mbele yake huyo kuhani. 4 Kisha kuhani Eleazari atachukua baadhi ya damu yake […]
Hesabu 20
Maji Kutoka Kwenye Mwamba 1 Katika mwezi wa kwanza jumuiya yote ya Kiisraeli ilifika kwenye Jangwa la Sini, nao wakakaa Kadeshi. Miriamu akafa huko na kuzikwa. 2 Mahali hapo hapakuwa na maji kwa ajili ya jumuiya hiyo, nao wakakusanyika ili kumpinga Mose na Aroni. 3 Watu wakagombana na Mose, na kusema, “Laiti tungelikufa wakati ndugu […]
Hesabu 21
Nchi Ya Aradi Yaangamizwa 1 Mfalme wa Kikanaani wa Aradi aliyeishi huko Negebu aliposikia kwamba Waisraeli walikuwa wanakuja kwa njia ya Atharimu, aliwashambulia Waisraeli na kuwateka baadhi yao. 2 Ndipo Israeli akaweka nadhiri hii kwaBwana: “Ikiwa utawatia watu hawa mikononi mwetu, tutaiangamiza kabisa miji yao.” 3 Bwanaakasikiliza ombi la Waisraeli, naye akawapa ushindi juu ya […]
Hesabu 22
Balaki Anamwita Balaamu 1 Kisha Waisraeli wakasafiri katika tambarare za Moabu na kupiga kambi kando ya Mto Yordani, ng’ambo ya Yeriko. 2 Basi Balaki mwana wa Sipori, aliona mambo yote yale Israeli aliyowatendea Waamori; 3 Moabu aliogopa, kwa kuwa walikuwapo watu wengi sana. Hakika, Moabu alijawa na hofu kubwa kwa sababu ya Waisraeli. 4 Wamoabu […]
Hesabu 23
Ujumbe Wa Kwanza Wa Balaamu 1 Balaamu akasema, “Nijengee hapa madhabahu saba, mnitayarishie mafahali saba na kondoo waume saba.” 2 Balaki akafanya kama Balaamu alivyosema; hao wawili kila mmoja wao akatoa fahali mmoja na kondoo dume mmoja juu ya kila madhabahu. 3 Kisha Balaamu akamwambia Balaki, “Kaa hapa kando ya sadaka yako wakati mimi ninakwenda […]
Hesabu 24
1 Basi Balaamu alipoona imempendezaBwanakubariki Israeli, hakuendelea tena kutafuta uchawi kama nyakati nyingine, bali aligeuza uso wake kuelekea nyikani. 2 Balaamu alipotazama nje na kuona Israeli amepiga kambi kabila kwa kabila, Roho wa Mungu akawa juu yake, 3 naye akatoa ujumbe wake: “Ujumbe wa Balaamu mwana wa Beori, ujumbe wake yeye ambaye jicho lake linaona […]