Miji Kwa Ajili Ya Walawi 1 Bwanaakamwambia Mose katika nchi tambarare ya Moabu, kando ya Mto Yordani kuvukia Yeriko, 2 “Waagize Waisraeli kuwapa Walawi miji ya kuishi kutoka urithi ambao Waisraeli wataumiliki. Wape maeneo ya malisho kuzunguka hiyo miji. 3 Kisha watakuwa na miji ya kuishi na maeneo ya malisho kwa ajili ya ng’ombe zao, […]
Monthly Archives: July 2017
Hesabu 36
Urithi Wa Binti Za Selofehadi 1 Viongozi wa jamaa ya ukoo wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase, ambao walikuwa wametoka katika koo za wazao wa Yosefu, walikuja na kuzungumza mbele ya Mose na viongozi, wakuu wa jamaa ya Waisraeli. 2 Wakasema, “WakatiBwanaalipomwamuru bwana wangu kuwapa Waisraeli nchi kama urithi kwa kura, alikuamuru kutoa […]
Mambo ya Walawi 1
Sadaka Ya Kuteketezwa 1 Bwanaakamwita Mose na kusema naye kutoka kwenye Hema la Kukutania, akamwambia, 2 “Sema na Waisraeli na uwaambie, ‘Ye yote miongoni mwenu aletapo sadaka ya mnyama kwaBwana, alete mnyama kama sadaka yake kutoka kundi lake la ng’ombe au la kondoo na mbuzi. 3 “ ‘Kama sadaka hiyo ni ya kuteketezwa kutoka kwenye […]
Mambo ya Walawi 2
Sadaka Ya Nafaka 1 “ ‘Mtu ye yote aletapo sadaka ya nafaka kwaBwana, sadaka yake itakuwa ya unga laini. Atamimina mafuta juu yake, aweke uvumba juu yake 2 naye atapeleka kwa makuhani wana wa Aroni. Kuhani atachukua konzi moja iliyojaa unga laini na mafuta, pamoja na uvumba wote na kuuteketeza kama sehemu ya kumbukumbu juu […]
Mambo ya Walawi 3
Sadaka Ya Amani 1 “ ‘Kama sadaka ya mtu ni sadaka ya amani, naye akatoa ng’ombe kutoka katika kundi, akiwa dume au jike, atamleta huyo mbele zaBwanamnyama asiye na dosari. 2 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha hiyo sadaka yake na kumchinja penye ingilio la Hema la Kukutania. Ndipo makuhani wana wa Aroni watanyunyiza […]
Mambo ya Walawi 4
Sadaka Ya Dhambi 1 Bwanaakamwambia Mose, 2 “Waambie Waisraeli: ‘Mtu ye yote afanyapo dhambi bila kukusudia na akatenda lile lililokatazwa katika amri yo yote yaBwana: 3 “ ‘Ikiwa kuhani aliyetiwa mafuta amefanya dhambi na kuwaletea watu hatia, lazima alete kwaBwanafahali mchanga asiye na dosari, kuwa sadaka ya dhambi kwa ajili ya dhambi aliyotenda. 4 Atamkabidhi […]
Mambo ya Walawi 5
Sadaka Nyingine Za Kuondoa Dhambi 1 “ ‘Ikiwa mtu atakuwa ametenda dhambi kwa sababu hakusema alipotakiwa kutoa ushahidi hadharani kuhusu jambo aliloona au kujua habari zake, yeye anastahili adhabu. 2 “ ‘Au kama mtu akigusa kitu cho chote ambacho si safi kwa kawaida ya ibada, kama ni mizoga ya wanyama pori walio najisi, au ya […]
Mambo ya Walawi 6
Kurudisha Kilichochukuliwa 1 Bwanaakamwambia Mose: 2 “Kama mtu ye yote akitenda dhambi naye si mwaminifu kwaBwanakwa kumdanganya jirani yake kuhusu kitu fulani alichokabidhiwa au kimeachwa chini ya utunzaji wake au kimeibwa, au kama akimdanganya, 3 au akiokota mali iliyopotea na akadanganya au kuapa kwa uongo, au kama akitenda dhambi yo yote ambayo watu waweza kuitenda; […]
Mambo ya Walawi 7
Sadaka Ya Hatia 1 “ ‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya sadaka ya hatia, ambayo ni takatifu sana: 2 Sadaka ya hatia itachinjiwa mahali pale ambapo sadaka ya kuteketezwa huchinjiwa, damu yake itanyunyizwa pande zote za madhabahu. 3 Mafuta yake yote yatatolewa sadaka: mafuta ya mkia na mafuta yale yanayofunika sehemu za ndani, 4 figo […]
Mambo ya Walawi 8
Kuwekwa Wakfu Kwa Aroni Na Wanawe 1 Bwanaakamwambia Mose, 2 “Mletee Aroni na wanawe mavazi yao, mafuta ya upako, fahali kwa ajili ya sadaka ya dhambi, kondoo waume wawili na kikapu chenye mikate iliyotengenezwa bila chachu, 3 kisha kusanya mkutano wote kwenye ingilio la Hema la Kukutania.” 4 Mose akafanya kamaBwanaalivyomwagiza, mkutano ukakusanyika kwenye ingilio […]