Mika 2

Mipango Ya Mwanadamu Na Ya Mungu 1 Ole kwa wale wapangao uovu, kwa wale wafanyao shauri la hila vitandani mwao! Kunapopambazuka wanalitimiza kwa sababu uko katika uwezo wao kutekeleza. 2 Wanatamani mashamba na kuyakamata, pia nyumba na kuzichukua. Wanamlaghai mwanaume nyumba yake, mwanadamu mwenzake urithi wake. 3 Kwa hiyo,Bwanaasema: “Ninapanga maangamizi dhidi ya watu hawa, […]

Mika 3

Viongozi Na Manabii Wakemewa 1 Kisha nikasema, “Sikilizeni enyi viongozi wa Yakobo, enyi watawala wa nyumba ya Israeli. Je, hampaswi kujua hukumu, 2 ninyi mnaochukia mema na kupenda maovu; ninyi mnaowachuna watu wangu ngozi na kuondoa nyama kwenye mifupa yao; 3 ninyi mnaokula nyama ya watu wangu, mnaowachuna ngozi na kuvunja mifupa yao vipande vipande; […]

Mika 4

Mlima Wa Bwana 1 Katika siku za mwisho mlima wa Hekalu laBwanautaimarishwa na kuwa mkuu kuliko milima yote; utainuliwa juu ya vilima na mataifa yatamiminika humo. 2 Mataifa mengi yatakuja na kusema, “Njoni, twendeni mlimani kwaBwana, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo. Atatufundisha njia zake, ili tutembee katika mapito yake.” Sheria itatoka Sayuni, neno laBwanalitatoka […]

Mika 5

Mtawala Aliyeahidiwa Kutoka Bethlehemu 1 Panga majeshi yako, Ee mji wa majeshi, kwa kuwa kuzingirwa kumepangwa dhidi yetu. Watampiga mtawala wa Israeli shavuni kwa fimbo. 2 “Lakini wewe, Bethlehemu Efrathi, ingawa u mdogo miongoni mwa koo za Yuda, kutoka kwako atatokea kwa ajili yangu yeye atakayekuwa mtawala katika Israeli, ambaye asili yake ni kutoka zamani, […]

Mika 6

Shauri La Bwana Dhidi Ya Israeli 1 Sikiliza asemaloBwana: “Simama, tetea shauri lako mbele ya milima; vilima na visikie lile unalotaka kusema. 2 Sikilizeni, Ee milima, mashtaka yaBwana, sikilizeni, enyi misingi ya milele ya dunia. Kwa kuwaBwanaana shauri dhidi ya watu wake; anatoa mashtaka dhidi ya Israeli. 3 “Watu wangu, nimewatendea nini? Nimewalemea kwa jinsi […]

Mika 7

Taabu Ya Israeli 1 Taabu gani hii niliyo nayo! Nimefanana na yule akusanyaye matunda ya kiangazi, aokotaye masazo baada ya kuvunwa shamba la mizabibu; hakuna kishada chenye matunda ya kula, hakuna hata ile tini ya mwanzoni ninayoitamani. 2 Wanaomcha Mungu wameondolewa kutoka katika nchi; hakuna mtu mnyofu hata mmoja aliyebaki. Watu wote wanavizia kumwaga damu, […]

Yona 1

Yona Anamkimbia Bwana 1 Neno laBwanalilimjia Yona mwana wa Amitai: 2 “Nenda katika mji mkubwa wa Ninawi ukahubiri juu yake, kwa sababu uovu wake umekuja juu mbele zangu.” 3 Lakini Yona alimkimbiaBwanana kuelekea Tarshishi. Alishuka mpaka Yafa, ambapo alikuta meli iliyokuwa imepangwa kuelekea bandari ile. Baada ya kulipa nauli, akapanda melini na kuelekea Tarshishi ili […]

Yona 2

Maombi ya Yona Katika Tumbo la Nyangumi 1 Akiwa ndani ya tumbo la nyangumi, Yona alimwombaBwanaMungu wake. 2 Akasema: “Katika shida yangu nalimwitaBwana, naye akanijibu. # Kutoka kina cha kaburiniliomba msaada, nawe ukasikiliza kilio changu. 3 Ulinitupa kwenye kilindi, ndani kabisa ya moyo wa bahari, mikondo ya maji ilinizunguka, mawimbi yako yote na viwimbi vilipita […]

Yona 3

Yona Aenda Ninawi 1 Ndipo neno laBwanalikamjia Yona mara ya pili: 2 “Ondoka uende katika mji mkubwa wa Ninawi, ukautangazie ujumbe ninaokupa.” 3 Yona akalitii neno laBwananaye akaenda Ninawi. Basi Ninawi ulikuwa mji maarufu sana, ilichukua siku tatu kuuzunguka. 4 Siku ya kwanza, Yona aliingia mjini. Akatangaza: “Baada ya siku arobaini Ninawi utaangamizwa.” 5 Watu […]

Yona 4

Hasira ya Yona Kwa Ajili ya Huruma ya Bwana. 1 Lakini Yona alichukizwa sana akakasirika. 2 AkamwombaBwana, “EeBwana, hili si lile nililolisema nilipokuwa ningali nyumbani? Hii ndiyo sababu niliharikisha kukimbilia Tarshishi. Nikifahamu kuwa wewe ni Mungu mwenye neema na huruma, si mwepesi wa hasira na umejaa upendo, ni Mungu ambaye hughairi katika kupeleka maafa. 3 […]