1 Neno laBwanaambalo lilimjia Yoeli mwana wa Pethueli. Uvamizi Wa Nzige 2 Sikilizeni hili, enyi wazee; sikilizeni, ninyi nyote mnaoishi katika nchi. Je, jambo kama hili lilishawahi kutokea katika siku zenu au katika siku za babu zenu? 3 Waelezeni watoto wenu, na watoto wenu wawaambie watoto wao, na watoto wao kwa kizazi kitakachofuata. 4 Kilichosazwa […]
Monthly Archives: July 2017
Yoeli 2
Jeshi La Nzige 1 Pigeni tarumbeta katika Sayuni; pigeni mbiu katika mlima wangu mtakatifu. Wote waishio katika nchi na watetemeke, kwa kuwa siku yaBwanainakuja. Iko karibu, 2 siku ya giza na huzuni, siku ya mawingu na utusitusi. Kama mapambazuko yasambaavyo toka upande huu wa milima hata upande mwingine jeshi kubwa na lenye nguvu linakuja. Jambo […]
Yoeli 3
Mataifa Yahukumiwa 1 “Katika siku hizo na wakati huo, nitakaporejesha neema ya Yuda na Yerusalemu, 2 nitayakusanya mataifa yote na kuyaleta # katika Bonde la Yehoshafati. Hapo nitaingia kwenye hukumu dhidi yao kuhusu urithi wangu, watu wangu Israeli, kwa kuwa waliwatawanya watu wangu miongoni mwa mataifa na kuigawa nchi yangu. 3 Wanawapigia kura watu wangu […]
Hosea 1
1 Neno laBwanalililomjia Hosea mwana wa Beeri wakati wa utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda, na wakati wa utawala wa Yeroboamu mwana wa Yekoashi mfalme wa Israeli: Mke Wa Hosea Na Watoto 2 WakatiBwanaalipoanza kuzungumza kupitia Hosea,Bwanaalimwambia, “Nenda ukajitwalie mwanamke wa uzinzi na watoto wa uzinzi, kwa sababu nchi ina hatia […]
Hosea 2
1 “Waambie ndugu zako, ‘Watu wangu,’ na pia waambie dada zako, ‘Wapendwa wangu.’ Israeli Aadhibiwa Na Kurudishwa 2 “Mkemeeni mama yenu, mkemeeni, kwa maana yeye si mke wangu, nami si mume wake. Aondoe sura ya uzinzi katika uso wake na uzinzi kati ya matiti yake. 3 Kama sivyo nitamvua nguo zake awe uchi na kumwacha […]
Hosea 3
Upatanisho Wa Hosea Na Mkewe 1 Bwanaakaniambia, “Nenda, ukaonyeshe upendo wako kwa mke wako tena, ingawa amependwa na mwingine naye ni mzinzi. Mpende kamaBwanaapendavyo Waisraeli, ingawa wanageukia miungu mingine na kupenda mikate mitamu ya zabibu kavu iliyowekwa wakfu.” 2 Basi nilimnunua huyo mwanamke kwa shekeli kumi na tanoza fedha, pia kwa kiasi kama cha homeri […]
Hosea 4
Shtaka Dhidi Ya Israeli 1 Sikieni neno laBwana, enyi Waisraeli, kwa sababuBwanaanalo shtaka dhidi yenu ninyi mnaoishi katika nchi: “Hakuna uaminifu, hakuna upendo, hakuna kumjua Mungu katika nchi. 2 Kuna kulaani tu, uongo na uuaji, wizi na uzinzi, bila kuwa na mipaka, nao umwagaji damu mmoja baada ya mwingine. 3 Kwa sababu hii nchi huomboleza, […]
Hosea 5
Hukumu Dhidi Ya Israeli 1 “Sikieni hili, enyi makuhani! Iweni wasikivu, enyi Waisraeli! Sikieni, Ee nyumba ya kifalme! Hukumu hii ni dhidi yenu: Mmekuwa mtego huko Mizpa, wavu uliotandwa juu ya Tabori. 2 Waasi wamezidisha sana mauaji. Mimi nitawatiisha wote. 3 Ninajua yote kuhusu Efraimu, Israeli hukufichika kwangu. Efraimu, sasa umegeukia ukahaba, Israeli amenajisika. 4 […]
Hosea 6
Israeli Asiye Na Toba 1 “Njoni, tumrudieBwana. Ameturarua vipande vipande lakini atatuponya; ametujeruhi lakini atatufunga majeraha yetu. 2 Baada ya siku mbili atatufufua; katika siku ya tatu atatuinua, ili tuweze kuishi mbele zake. 3 TumkubaliBwana, tukaze kumkubali yeye. Kutokea kwake ni hakika kama vile kuchomoza kwa jua; atatujia kama mvua za masika, kama vile mvua […]
Hosea 7
1 kila mara nilipotaka kumponya Israeli, dhambi za Efraimu zinafichuliwa na maovu ya Samaria yanafunuliwa. Wanafanya udanganyifu, wevi huvunja nyumba, maharamia hunyang’anya barabarani, 2 lakini hawafahamu kwamba ninakumbuka matendo yao yote mabaya. Dhambi zao zimewameza, ziko mbele zangu siku zote. 3 “Wanamfurahisha sana mfalme kwa maovu yao, wakuu wao kwa uongo wao. 4 Wote ni […]