Ezekieli 12

Kutekwa Kwa Yuda Kwaelezwa 1 Neno laBwanalikanijia kusema: 2 “Mwanadamu, unaishi miongoni mwa watu waasi. Wana macho ya kuona, lakini hawaoni na masikio ya kusikia lakini hawasikii, kwa kuwa ni watu waasi. 3 “Kwa hiyo, mwanadamu, funga mizigo yako kwa kwenda uhamishoni tena wakati wa mchana, wakiwa wanakutazama, toka nje na uende mahali pengine kutoka […]

Ezekieli 13

Manabii Wa Uongo Walaumiwa 1 Neno laBwanalikanijia kusema: 2 “Mwanadamu, tabiri dhidi ya manabii wa Israeli wanaotabiri sasa. Waambie hao ambao hutabiri kutokana na mawazo yao wenyewe: ‘Sikia neno laBwana! 3 Hili ndiloBwanaMwenyezi asemalo: Ole wao manabii wapumbavu wafuatao roho yao wenyewe na wala hawajaona cho chote! 4 Manabii wako, Ee Israeli ni kama mbweha […]

Ezekieli 14

Waabudu Sanamu Walaumiwa 1 Baadhi ya wazee wa Israeli walinijia na kuketi mbele yangu. 2 Ndipo neno laBwanalikanijia kusema: 3 “Mwanadamu, watu hawa wameweka sanamu katika mioyo yao na kuweka vitu viovu vya kukwaza mbele ya macho yao. Je, kweli niwaruhusu waniulize jambo lo lote? 4 Kwa hiyo sema nao uwaambie, ‘Hili ndiloBwanaMwenyezi asemalo: Wakati […]

Ezekieli 15

Yerusalemu Mzabibu Usiofaa 1 Neno laBwanalikanijia kusema: 2 “Mwanadamu, je, ni vipi mti wa mzabibu unaweza kuwa bora zaidi kuliko tawi la mti mwingine wo wote ndani ya msitu? 3 Je, mti wake kamwe huchukuliwa na kutengeneza cho chote cha manufaa? Je, watu hutengeneza vigingi vya kuning’inizia vitu kutokana na huo mti wake? 4 Nao […]

Ezekieli 16

Yerusalemu, Mwanamke Asiye Mwaminifu 1 Neno laBwanalikanijia kusema: 2 “Mwanadamu, ijulishe Yerusalemu kuhusu mwenendo wake wa machukizo 3 na useme, ‘Hili ndiloBwanaMwenyezi, analomwambia Yerusalemu: Wewe asili yako na kuzaliwa kwako ni katika nchi ya Kanaani, baba yako alikuwa Mwamori, naye mama yako alikuwa Mhiti. 4 Siku uliyozaliwa kitovu chako hakikukatwa, wala hukuogeshwa kwa maji ili […]

Ezekieli 17

Tai Wawili Na Mizabibu 1 Neno laBwanalikanijia kusema: 2 “Mwanadamu, tega kitendawili, ukawaambie nyumba ya Israeli fumbo. 3 Waambie hivi, ‘Hili ndiloBwanaMwenyezi asemalo: Tai mkubwa mwenye mabawa yenye nguvu, yaliyojaa manyoya marefu ya rangi mbalimbali, alikuja Lebanoni. Akatua kwenye kilele cha mwerezi, 4 akakwanyua ncha yake na kuichukua mpaka nchi ya wafanyabiashara, akaipanda huko katika […]

Ezekieli 18

Roho Itendayo Dhambi Itakufa 1 Neno laBwanalikanijia kusema: 2 “Je, ninyi watu mna maana gani kutumia mithali hii inayohusu nchi ya Israeli: “ ‘Baba wamekula zabibu zenye chachu, nayo meno ya watoto yametiwa ganzi’? 3 “Hakika kama niishivyo, asemaBwanaMwenyezi, hamtatumia tena mithali hii katika Israeli. 4 Kwa kuwa kila roho ni mali yangu, kama vile […]

Ezekieli 19

Maombolezo Kwa Ajili Ya Wakuu Wa Israeli 1 “Wewe fanya maombolezo kuhusu wakuu wa Israeli 2 na useme: “ ‘Tazama jinsi gani mama yako alivyokuwa simba jike miongoni mwa simba! Alilala katikati ya wana simba na kulisha watoto wake. 3 Alimlea mmoja wa watoto wake, naye akawa simba mwenye nguvu. Akajifunza kurarua mawindo naye akala […]

Ezekieli 20

Israeli Waasi 1 Katika mwaka wa saba, mwezi wa tano siku ya kumi, baadhi ya wazee wa Israeli wakaja ili kutaka ushauri kwaBwana, wakaketi mbele yangu. 2 Ndipo neno laBwanalikanijia kusema: 3 “Mwanadamu, sema na wazee wa Israeli uwaambie, ‘Hili ndiloBwanaMwenyezi asemalo: Kwa nini mmekuja? Je, ni kutaka ushauri kwangu? Hakika kama niishivyo, sitawaruhusu mtake […]

Ezekieli 21

Babeli, Upanga Wa Mungu Wa Hukumu 1 Neno laBwanalikanijia kusema: 2 “Mwanadamu, uelekeze uso wako juu ya Yerusalemu na uhubiri dhidi ya mahali patakatifu. Tabiri dhidi ya nchi ya Israeli 3 uiambie: ‘Hili ndiloBwanaasemalo: Mimi niko kinyume nawe. Nitautoa upanga wangu kwenye ala yake na kumkatilia mbali mwenye haki na mwovu. 4 Kwa sababu nitamkatilia […]