Ishara Ya Imanueli 1 Wakati Ahazi mwana wa Yothamu, mwana wa Uzia, alipokuwa mfalme wa Yuda, Mfalme Resini wa Aramuna Peka mwana wa Remalia mfalme wa Israeli walipanda kupigana dhidi ya Yerusalemu, lakini hawakuweza kuushinda. 2 Wakati huu nyumba ya Daudi iliambiwa, “Aramu wameungana na Efraimu.” Kwa hiyo moyo wa Ahazi na ya watu wake […]
Monthly Archives: July 2017
Isaya 8
Ashuru, Chombo Cha Bwana 1 Bwanaakaniambia, “Chukua gombo kubwa uandike juu yake kwa kalamu ya kawaida. Maher-Shalal-Hash-Bazi. 2 Nami nitawaita kuhani Uria na Zekaria mwana wa Yeberekia kama mashahidi wangu waaminifu.” 3 Kisha nikaenda kwa nabii mke, naye akapata mimba akazaa mwana. KishaBwanaakaniambia, “Mwite huyo mtoto Maher-Shalal-Hash-Bazi. 4 Kabla mtoto hajaweza kusema, ‘Baba yangu’ au […]
Isaya 9
Kwa Ajili Yetu Mtoto Amezaliwa 1 Hata hivyo, hapatakuwepo huzuni zaidi kwa wale waliokuwa katika dhiki. Wakati uliopita aliidhili nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali, lakini katika siku zijazo ataiheshimu Galilaya ya Mataifa, karibu na njia ya bahari, kando ya Yordani: 2 Watu wanaotembea katika giza wameona nuru kuu, wale wanaoishi katika nchi ya […]
Isaya 10
1 Ole wao wawekao sheria zisizo za haki, kwa wale watoao amri za kuonea, 2 kuwanyima maskini haki zao na kuzuilia haki za watu wangu walioonewa, kuwafanya wajane mawindo yao na kuwanyang’anya yatima. 3 Mtafanya nini siku ya kutoa hesabu, wakati maafa yatakapokuja kutoka mbali? Mtamkimbilia nani awape msaada? Mtaacha wapi mali zenu? 4 Hakutasalia […]
Isaya 11
Tawi Kutoka Kwa Yese 1 Chipukizi litatokea kutoka katika shina la Yese, kutoka mizizi yake Tawi litazaa tunda. 2 Roho waBwanaatakaa juu yake, Roho wa hekima na wa ufahamu, Roho wa shauri na uweza, Roho wa maarifa na wa kumchaBwana 3 naye atafurahia kumchaBwana. Hatahukumu kwa yale ayaonayo kwa macho yake, wala kuamua kwa yale […]
Isaya 12
Kushukuru Na Kusifu 1 Katika siku ile utasema: “Nitakusifu wewe, EeBwana. Ingawa ulinikasirikia, hasira yako imegeukia mbali nawe umenifariji. 2 Hakika Mungu ni wokovu wangu; nitamtumaini wala sitaogopa. Bwana,Bwana, ni nguvu zangu na wimbo wangu; amekuwa wokovu wangu.” 3 Kwa furaha mtachota maji kutoka katika visima vya wokovu. 4 Katika siku hiyo mtasema: “MshukuruniBwana, mliitie […]
Isaya 13
Unabii Dhidi Ya Babeli 1 Neno kuhusu Babeli ambalo Isaya mwana wa Amozi aliliona: 2 Twekeni bendera juu ya mlima usio na kitu, wapazieni sauti, wapungieni mkono waingie katika malango ya wenye heshima. 3 Nimewaamuru watakatifu wangu; nimewaita mashujaa wangu waitimize hasira yangu: wale wanaoshangilia ushindi wangu. 4 Sikilizeni kelele juu ya milima, kama ile […]
Isaya 14
Yuda Kufanywa Upya 1 Bwanaatamhurumia Yakobo, kwa mara nyingine tena atamchagua Israeli na kuwakalisha katika nchi yao wenyewe. Wageni wataungana nao na kujiunga na nyumba ya Yakobo. 2 Mataifa watawachukua na kuwaleta mahali pao wenyewe. Nayo nyumba ya Israeli itamiliki mataifa kama watumishi wa kiume na watumishi wa kike katika nchi yaBwana. Watawafanya watekaji wao […]
Isaya 15
Unabii Dhidi Ya Moabu 1 Neno kuhusu Moabu: Ari iliyo katika Moabu imeangamizwa: imeharibiwa kwa usiku mmoja! Kiri iliyo katika Moabu imeangamizwa, imeharibiwa kwa usiku mmoja! 2 Diboni anakwea hadi kwenye Hekalu lake, mpaka mahali pake pa juu pa kuabudia miungu ili walie, Moabu anaombolezea Nebo na Medeba. Kila kichwa kimenyolewa na kila ndevu zimeondolewa. […]
Isaya 16
Hali Ya Kukata Tamaa Ya Moabu 1 Pelekeni wana-kondoo kama ushuru kwa mtawala wa nchi, Kutoka Sela, kupitia jangwani, hadi mlima wa Binti Sayuni. 2 Kama ndege wanaopapatika waliofukuzwa kutoka kwenye kiota chao, ndivyo walivyo wanawake wa Moabu kwenye vivuko vya Arnoni. 3 “Tupeni shauri, toeni uamuzi. Wakati wa adhuhuri, fanyeni kivuli chenu kama usiku. […]