Wokovu Kwa Ajili Ya Israeli 1 Katika siku ile, Bwanaataadhibu kwa upanga wake, upanga wake mkali, mkubwa na wenye nguvu, # ataadhibu Lewiathaniyule nyoka apitaye mbio kwa mwendo laini, Lewiathani yule nyoka mwenye kupindapinda; atamwua joka huyo mkubwa sana wa baharini. 2 Katika siku ile: “Imbeni kuhusu shamba la mizabibu lililozaa: 3 Mimi,Bwana, ninalitunza, nitalinyweshea […]
Monthly Archives: July 2017
Isaya 28
Ole Wa Efraimu 1 Ole wa lile taji la maua, kiburi cha walevi wa Efraimu, kwa ua linalosinyaa, uzuri wa utukufu wake, uliowekwa kwenye kichwa cha bonde lenye rutuba, kwa ule mji, kiburi cha wale walioshushwa na mvinyo! 2 Tazama, Bwana anaye mmoja aliye na uwezo na nguvu. Kama dhoruba ya mvua ya mawe na […]
Isaya 29
Ole Wa Mji Wa Daudi 1 Ole wako, wewe Arieli, Arieli, mji alimokaa Daudi! Ongezeni mwaka kwa mwaka na mzunguko wa sikukuu zenu uendelee. 2 Hata hivyo nitauzunguka Arieli kwa jeshi, utalia na kuomboleza, utakuwa kwangu kama mahali pa kuwashia moto madhabahuni. 3 Nitapiga kambi pande zote dhidi yako, nitakuzunguka kwa minara na kupanga mazingiwa […]
Isaya 30
Ole Wa Taifa Kaidi 1 Bwanaasema, “Ole wa watoto wakaidi, kwa wale wanaotimiza mipango ambayo si yangu, wakifanya umoja, lakini si kwa Roho wangu, wakilundika dhambi juu ya dhambi, 2 wale washukao kwenda Misri bila kutaka shauri langu, wanaotafuta msaada wa ulinzi wa Farao, watafutao kivuli cha Misri kwa ajili ya kimbilio. 3 Lakini ulinzi […]
Isaya 31
Ole Wa Wale Wanaotegemea Misri 1 Ole wao wale washukao Misri kwa ajili ya msaada, wale wategemeao farasi, wanaoweka tumaini katika wingi wa magari yao ya vita na katika nguvu nyingi za wapanda farasi, lakini hawamwangalii yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli, wala hawatafuti msaada kwaBwana. 2 Hata hivyo yeye pia ana hekima na anaweza kuleta […]
Isaya 32
Ufalme Wa Haki 1 Tazama, mfalme atatawala kwa uadilifu na watawala watatawala kwa haki. 2 Kila mtu atakuwa kama kivuli cha kujificha kutokana na upepo na kimbilio kutokana na dhoruba, kama vijito vya maji jangwani na kivuli cha mwamba mkubwa katika ardhi yenye kiu. 3 Ndipo macho ya wale wanaoona hayatafumbwa tena, nayo masikio ya […]
Isaya 33
Taabu Na Msaada 1 Ole wako wewe, Ee mharabu, wewe ambaye hukuharibiwa! Ole wako, Ee msaliti, wewe ambaye hukusalitiwa! Utakapokwisha kuharibu, utaharibiwa; utakapokwisha kusaliti, utasalitiwa. 2 EeBwana, uturehemu, tunakutamani. Uwe nguvu yetu kila asubuhi na wokovu wetu wakati wa taabu. 3 Kwa ngurumo ya sauti yako, mataifa yanakimbia; unapoinuka, mataifa hutawanyika. 4 Mateka yako, Enyi […]
Isaya 34
Hukumu Dhidi Ya Mataifa 1 Njoni karibu, enyi mataifa, nanyi msikilize; sikilizeni kwa makini, enyi kabila za watu! Dunia na isikie, navyo vyote vilivyo ndani yake, ulimwengu na vyote vitokavyo ndani yake! 2 Bwanaameyakasirikia mataifa yote; ghadhabu yake ni juu ya majeshi yao yote. Atawaangamiza kabisa, atawatia mikononi mwa wachinjaji. 3 Waliouawa watatupwa nje, maiti […]
Isaya 35
Furaha Ya Waliokombolewa 1 Jangwa na nchi kame vitafurahi; nyika itashangilia na kuchanua maua. Kama waridi, 2 litachanua maua, litashangilia sana na kupaza sauti kwa furaha. Litapewa utukufu wa Lebanoni. Fahari ya Karmeli na Sharoni; wataona utukufu waBwana, fahari ya Mungu wetu. 3 Itieni nguvu mikono iliyo dhaifu, yafanyeni imara magoti yaliyolegea, 4 waambieni wale […]
Isaya 36
Senakeribu Anatishia Yerusalemu 1 Katika mwaka wa kumi na nne wa kutawala kwa Mfalme Hezekia, Mfalme Senakeribu wa Ashuru alishambulia miji yote ya Yuda yenye maboma na kuiteka. 2 Kisha mfalme wa Ashuru akamtuma Amirijeshi kutoka Lakishi hadi kwa Mfalme Hezekia huko Yerusalemu, pamoja na jeshi kubwa. Amirijeshi aliposimama kwenye mfereji wa Bwawa la Juu […]