Isaya 37

Kuokolewa Kwa Yerusalemu Kunatabiriwa 1 Wakati Mfalme Hezekia aliposikia hili, alirarua nguo zake na kuvaa nguo ya gunia, naye akaenda hekaluni mwaBwana. 2 Akawatuma Eliakimu msimamizi wa jumba la kifalme, Shebna katibu na makuhani viongozi, wote wakiwa wamevaa nguo ya gunia, waende kwa nabii Isaya mwana wa Amozi. 3 Wakamwambia, “Hili ndilo asemalo Hezekia: Siku […]

Isaya 38

Kuugua Kwa Mfalme Hezekia 1 Katika siku hizo Hezekia akaugua naye akawa karibu na kufa. Nabii Isaya mwana wa Amozi akamwendea na kumwambia, “Hili ndilo asemaloBwana: Tengeneza mambo ya nyumba yako, kwa sababu utakufa, hutapona.” 2 Hezekia akageuza uso wake kuelekea ukutani na kumwombaBwana, 3 “EeBwana, kumbuka, jinsi nilivyotembea mbele zako kwa uaminifu na kujitoa […]

Isaya 39

Wajumbe Kutoka Babeli 1 Wakati huo Merodaki-Baladani mwana wa Baladani mfalme wa Babeli alimpelekea Hezekia barua na zawadi, kwa kuwa alikuwa amesikia habari za kuugua na kupona kwake. 2 Hezekia akawapokea wajumbe hao kwa furaha na kuwaonyesha kile kilichokuwa ndani ya ghala zake: Fedha, dhahabu, vikolezo, mafuta safi, silaha zake zote za vita na kila […]

Isaya 40

Faraja Kwa Watu Wa Mungu 1 Wafarijini, wafarijini watu wangu, asema Mungu wenu. 2 Sema na Yerusalemu kwa upole, umtangazie kwamba kazi yake ngumu imekamilika, kwamba dhambi yake imefanyiwa fidia, kwamba amepokea kutoka mkononi mwaBwana maradufu kwa ajili ya dhambi zake zote. 3 Sauti ya mtu aliaye: “Itengenezeni jangwani njia yaBwana, nyosheni njia kuu nyikani […]

Isaya 41

Msaidizi Wa Israeli 1 “Nyamazeni kimya mbele zangu, enyi visiwa! Mataifa na wafanye upya nguvu zao! Wao na wajitokeze, kisha waseme, tukutane pamoja mahali pa hukumu. 2 “Ni nani aliyemchochea mmoja kutoka mashariki, akimwita katika haki kwa utumishi wake? Huyatia mataifa mikononi mwake na kuwatiisha wafalme mbele zake. Huwafanya kuwa mavumbi kwa upanga wake, huwafanya […]

Isaya 42

Mtumishi Wa Bwana 1 “Huyu hapa mtumishi wangu, ninayemtegemeza, mteule wangu, ambaye ninapendezwa naye; nitaweka Roho yangu juu yake, naye ataleta haki kwa mataifa. 2 Hatapaza sauti wala kupiga kelele, wala hataiinua sauti yake barabarani. 3 Mwanzi uliopondeka hatauvunja na utambi ufukao moshi hatauzima. Kwa uaminifu ataleta haki, 4 hatazimia roho wala kukata tamaa mpaka […]

Isaya 43

Mwokozi Pekee Wa Israeli 1 Lakini sasa hili ndilo asemaloBwana, yeye aliyekuumba, Ee Yakobo, yeye aliyekuhuluku, Ee Israeli: “Usiogope kwa maana nimekukomboa, nimekuita wewe kwa jina lako, wewe u wangu. 2 Unapopita kwenye maji makuu, nitakuwa pamoja nawe, unapopita katika mito ya maji, hayatakugharikisha. Utakapopita katika moto, hutaungua, miali ya moto haitakuunguza. 3 Kwa kuwa […]

Isaya 44

Israeli Aliyechaguliwa 1 “Lakini sasa sikiliza, Ee Yakobo, mtumishi wangu, Israeli, niliyemchagua. 2 Hili ndilo asemaloBwana, yeye aliyekuhuluku, aliyekuumba tumboni, yeye atakayekusaidia: Usiogope, Ee Yakobo, mtumishi wangu, # Yeshuruni, niliyekuchagua. 3 Kwa maana nitamimina maji juu ya nchi yenye kiu na vijito vya maji juu ya ardhi iliyokauka; nitamimina Roho wangu juu ya watoto wako, […]

Isaya 45

Koreshi Chombo Cha Mungu 1 “Hili ndilo asemaloBwanakwa mpakwa mafuta wake, Koreshi, ambaye nimemshika mkono wake wa kuume kutiisha mataifa mbele yake na kuwavua wafalme silaha zao, kufungua milango mbele yake ili kwamba malango yasije yakafungwa: 2 Nitakwenda mbele yako na kusawazisha milima; nitavunjavunja malango ya shaba na kukatakata mapingo ya chuma. 3 Nitakupa hazina […]

Isaya 46

Miungu Ya Babeli 1 Beli anasujudu hadi nchi, Nebo anainama; sanamu zao hubebwa na wanyama wa mizigo. Vinyago hivi mnavyobeba kila mahali ni mzigo wa kulemea, mzigo kwa waliochoka. 2 Vinyago pamoja na wale wanaovibeba wanainama chini; hiyo miungu haiwezi kuwaokoa watu, wote wanakwenda utumwani pamoja. 3 “Nisikilizeni mimi, Ee nyumba ya Yakobo, ninyi nyote […]