Ibada Ya Sanamu Ya Israeli Iliyo Batili 1 Mwenye haki hupotea, wala hakuna hata mmoja awazaye hilo moyoni mwake; watu wanaomcha Mungu huondolewa, wala hakuna hata mmoja anayeelewa kuwa wenye haki wameondolewa wasipatikane na maovu. 2 Wale waendao kwa unyofu huwa na amani; hupata pumziko walalapo mautini. 3 “Lakini ninyi, njoni hapa, ninyi wana wa […]
Monthly Archives: July 2017
Isaya 58
Mfungo Wa Kweli 1 “Piga kelele, usizuie. Paza sauti yako kama tarumbeta. Watangazieni watu wangu uasi wao na kwa nyumba ya Yakobo dhambi zao. 2 Kwa maana kila siku hunitafuta, wanaonekana kutaka kujua njia zangu, kana kwamba walikuwa taifa linalotenda lile lililo sawa na ambalo halijaziacha amri za Mungu wake. Hutaka kwangu maamuzi ya haki, […]
Isaya 59
Dhambi, Toba Na Ukombozi 1 Hakika mkono waBwanasi mfupi hata usiweze kuokoa, wala sikio lake si zito hata lisiweze kusikia. 2 Lakini maovu yenu yamewatenga ninyi na Mungu wenu, dhambi zenu zimewaficha ninyi uso wake, ili asisikie. 3 Kwa maana mikono yenu imetiwa mawaa kwa damu na vidole vyenu kwa hatia. Midomo yenu imenena uongo, […]
Isaya 60
Utukufu Wa Sayuni 1 “Ondoka, angaza, kwa kuwa nuru yako imekuja na utukufu waBwanaumezuka juu yako. 2 Tazama, giza litaifunika dunia na giza kuu litayafunika mataifa, lakiniBwanaatazuka juu yako na utukufu wake utaonekana juu yako. 3 Mataifa wataijia nuru yako na wafalme kuujia mwanga wa mapambazuko yako. 4 “Inua macho yako na utazame pande zote: […]
Isaya 61
Mwaka Wa Upendeleo Wa Bwana 1 Roho waBwanaMwenyezi yu juu yangu, kwa sababuBwanaamenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwaganga waliovunjika moyo, kuwatangazia mateka uhuru wao na hao waliofungwa habari za kufunguliwa kwao, 2 kutangaza mwaka waBwanauliokubaliwa na siku ya kisasi ya Mungu wetu, kuwafariji wote waombolezao, 3 na kuwapa mahitaji wale wanaohuzunika katika Sayuni, […]
Isaya 62
Jina Jipya La Sayuni 1 Kwa ajili ya Sayuni sitanyamaza kimya, kwa ajili ya Yerusalemu sitatulia, mpaka haki yake itakapoangaza kama mapambazuko, wokovu wake kama mwanga wa moto. 2 Mataifa wataona haki yako, nao wafalme wote wataona utukufu wako; wewe utaitwa kwa jina jipya lile ambalo kinywa chaBwanakitatamka. 3 Utakuwa taji ya fahari mkononi mwaBwana, […]
Isaya 63
Siku Ya Mungu Ya Kisasi Na Ukombozi 1 Ni nani huyu anayekuja kutoka Edomu, kutoka Bosra, mwenye mavazi yaliyotiwa madoa mekundu? Ni nani huyu, aliyevikwa joho la kifahari, anayetembea kwa ukuu wa nguvu zake? “Mimi ndimi, nisemaye katika haki, mwenye nguvu wa kuokoa.” 2 Kwa nini mavazi yako ni mekundu, kama ya yule akanyagaye shinikizo […]
Isaya 64
1 Laiti ungelipasua mbingu na kushuka chini, kwamba milima ingelitetemeka mbele zako! 2 Kama vile moto uteketezavyo vijiti na kusababisha maji kuchemka, shuka ukafanye jina lako lijulikane kwa adui zako na kusababisha mataifa yatetemeke mbele zako! 3 Kwa maana ulipofanya mambo ya kutisha ambayo hatukuyatazamia, ulishuka nayo milima ikatetemeka mbele zako. 4 Tangu nyakati za […]
Isaya 65
Hukumu Na Wokovu 1 “Nilijifunua kwa watu wale ambao hawakuniulizia, nimeonekana kwa watu wale ambao hawakunitafuta. Kwa taifa lile ambalo halikuliita Jina langu, nilisema, ‘Niko hapa, niko hapa.’ 2 Mchana kutwa nimeinyosha mikono yangu kwa watu wakaidi, wanaokwenda katika njia ambazo si nzuri, wafuatao mawazo yao wenyewe, 3 taifa ambalo daima hunikasirisha machoni pangu, wakitoa […]
Isaya 66
Hukumu Na Matumaini 1 Hili ndilo asemaloBwana, “Mbingu ni kiti changu cha enzi, nayo dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu. Iko wapi nyumba mtakayojenga kwa ajili yangu? Mahali pangu pa kupumzika patakuwa wapi? 2 Je, mkono wangu haukufanya vitu hivi vyote, hivyo vikapata kuwepo?” asemaBwana. “Mtu huyu ndiye ninayemthamini: yeye ambaye ni mnyenyekevu na […]