Amri Ya Mfalme Kuhusu Wayahudi 1 Siku ile ile Mfalme Ahusuero akampa Malkia Esta shamba la Hamani, adui wa Wayahudi. Naye Mordekai akaja mbele ya mfalme, kwa kuwa Esta alikuwa amesema jinsi anavyohusiana naye. 2 Mfalme akaivua pete yake ya muhuri, ambayo alikuwa amemnyang’anya Hamani, akampa Mordekai naye Esta akamweka Mordekai juu ya shamba la […]
Monthly Archives: July 2017
Esta 9
Ushindi Wa Wayahudi 1 Katika siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili, yaani mwezi wa Adari, amri iliyoagizwa na mfalme ilikuwa itekelezwe. Siku hii adui wa Wayahudi walikuwa wametumaini kuwashinda, lakini sasa mambo yaliwageukia na Wayahudi wakawashinda wale waliokuwa wanawachukia. 2 Wayahudi walikusanyika katika miji yao, katika majimbo ya Mfalme Ahusuero […]
Esta 10
Ukuu Wa Mordekai 1 Mfalme Ahusuero alitoza ushuru katika ufalme wake wote hadi kwenye miambao yake ya mbali. 2 Matendo yake yote ya nguvu na uwezo, pamoja na habari zote za ukuu wa Mordekai ambao mfalme alikuwa amemkuza, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu cha wafalme wa Umedi na Uajemi? 3 Mordekai Myahudi alikuwa wa […]
Nehemiah 1
Maombi Ya Nehemia 1 Maneno ya Nehemia mwana wa Hakalia: # Katika mwezi wa Kisleukatika mwaka wa ishirini, wakati nikiwa ngomeni katika jumba la kifalme la Shushani, 2 Hanani, mmoja wa ndugu zangu, alikuja kutoka Yuda akiwa na watu wengine, nami nikawauliza kuhusu mabaki ya Wayahudi walionusurika kwenda uhamishoni na pia kuhusu Yerusalemu. 3 Wakaniambia, […]
Nehemiah 2
Artashasta Amtuma Nehemia Yerusalemu 1 Katika mwezi wa Nisanimwaka wa ishirini wa kutawala kwake Mfalme Artashasta, wakati divai ilipoletwa kwa ajili yake, niliichukua na kumpa mfalme. Sikuwahi kuonekana mwenye huzuni mbele yake kabla ya hapo. 2 Basi mfalme akaniuliza, “Kwa nini uso wako unaonekana una huzuni wakati wewe si mgonjwa? Jambo hili si kitu kingine […]
Nehemiah 3
Wajenzi Wa Ukuta 1 Eliyashibu Kuhani Mkuu na makuhani wenzake walikwenda kufanya kazi na kulijenga upya Lango la Kondoo. Waliliweka wakfu na kuweka milango mahali pake, wakajenga hadi kufikia Mnara wa Mia Moja, ambao waliuweka wakfu hadi Mnara wa Hananeli. 2 Watu wa Yeriko wakajenga sehemu zilizopakana nao, Zahuri mwana wa Imri aliendelea kujenga karibu […]
Nehemiah 4
Upinzani Wakati Wa Ujenzi 1 Sanbalati aliposikia kwamba tulikuwa tunajenga upya ukuta, alikasirika na akawa na uchungu sana. Aliwadhihaki Wayahudi, 2 mbele ya rafiki zake na jeshi la Samaria, akisema, “Hawa Wayahudi wanyonge wanafanya nini? Je, wataweza kuurudishia ukuta wao? Je, watatoa dhabihu? Je, wataweza kumaliza kuujenga kwa siku moja? Je, wataweza kufufua mawe kutoka […]
Nehemiah 5
Nehemia Anawasaidia Maskini 1 Wakati huu watu na wake zao wakalia kilio kikuu dhidi ya ndugu zao Wayahudi. 2 Baadhi yao walikuwa wakisema, “Sisi na wana wetu na binti zetu tu wengi, ili tuweze kula na kuishi, ni lazima tupate nafaka.” 3 Wengine walikuwa wakisema, “Tunaweka rehani mashamba yetu, mashamba ya mizabibu na nyumba zetu […]
Nehemiah 6
Upinzani Zaidi Wakati Wa Ujenzi 1 Habari zilipofika kwa Sanbalati, Tobia, Geshemu Mwarabu na adui zetu wengine kwamba nimejenga tena ukuta na hakuna nafasi iliyobakia ndani mwake, ingawa mpaka wakati huo sikuwa nimeweka milango kwenye malango, 2 Sanbalati na Geshemu wakanipelekea ujumbe huu: “Njoo, tukutane katika mojawapo ya vijiji katika nchi tambarare ya Ono.” Lakini […]
Nehemiah 7
1 Baada ya ukuta kukamilika kujengwa upya na kuweka milango, waliteuliwa mabawabu wa lango, waimbaji na Walawi. 2 Nikamweka Hanani ndugu yangu kuwa kiongozi wa Yerusalemu, pamoja na Hanania jemadari wa ngome, kwa kuwa alikuwa mtu mwadilifu na mwenye kumcha Mungu kuliko watu wengine. 3 Nikawaambia, “Malango ya Yerusalemu yasifunguliwe mpaka jua litakapokuwa limepanda. Wakati […]