1 watu wote wakakusanyika kama mtu mmoja kwenye uwanja mbele ya Lango la Maji. Wakamwambia Ezra mwandishi alete kitabu cha sheria ya Mose, ambachoBwanaaliamuru kwa ajili ya Israeli. 2 Basi katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba kuhani Ezra akaleta Sheria mbele ya kusanyiko, ambamo walikuwemo wanaume, wanawake na watu wote walioweza kufahamu. 3 […]
Monthly Archives: July 2017
Nehemiah 9
Waisraeli Waungama Dhambi Zao 1 Katika siku ya ishirini na nne ya mwezi ule ule, Waisraeli walikusanyika pamoja, wakifunga na kuvaa nguo za gunia na kujipaka mavumbi vichwani mwao. 2 Wale wa uzao wa Israeli walijitenga na wageni wote. Wakasimama mahali pao na kuungama dhambi zao na uovu wa baba zao. 3 Wakasimama pale walipokuwa, […]
Nehemiah 10
1 Wale waliotia muhuri walikuwa: Nehemia mtawala, mwana wa Hakalia. Sedekia, 2 Seraya, Azaria, Yeremia, 3 Pashuri, Amaria, Malkiya, 4 Hatushi, Shebania, Maluki, 5 Harimu, Meremothi, Obadia, 6 Danieli, Ginethoni, Baruki, 7 Meshulamu, Abiya, Miyamini, 8 Maazia, Bilgai na Shemaya. Hawa ndio waliokuwa makuhani. 9 Walawi: Yeshua mwana wa Azania, Binui wana wa Henadadi, Kadmieli, […]
Nehemiah 11
Wakazi Wapya Wa Yerusalemu 1 Basi, viongozi wa watu waliokaa Yerusalemu na watu wengine, walipiga kura mtu mmoja kati ya watu kumi aje kuishi Yerusalemu, mji mtakatifu, wengine tisa waliobaki ilikuwa wakae katika miji yao wenyewe. 2 Watu waliwasifu wale wote waliojitolea kuishi Yerusalemu. 3 Hawa ndio viongozi wa majimbo waliokuja kuishi Yerusalemu (baadhi ya […]
Nehemiah 12
Makuhani Na Walawi Waliorudi Na Zerubabeli 1 Hawa wafuatao walikuwa makuhani na Walawi ambao walirudi na Zerubabeli mwana wa Shealtieli pamoja na Yeshua: Seraya, Yeremia, Ezra, 2 Amaria, Maluki, Hatushi, 3 Shekania, Rehumu, Meremothi, 4 Ido, Ginethoni, Abiya, 5 Miyamini, Moadia, Bilga, 6 Shemaya, Yoyaribu, Yedaya, 7 Salu, Amoki, Hilkia na Yedaya. Hawa walikuwa viongozi […]
Nehemiah 13
Nehemia Afanya Matengenezo Ya Mwisho 1 Katika siku hiyo kitabu cha Mose kilisomwa kwa sauti kuu na watu wote wakasikia. Humo ilionekana imeandikwa kwamba hakuna Mwamori wala Mmoabi atakayeruhusiwa katika kusanyiko la watu wa Mungu, 2 kwa sababu hawakuwalaki Waisraeli kwa chakula na maji, badala yake walimwajiri Balaamu kuwalaani (lakini hata hivyo Mungu wetu aligeuza […]
Ezra 1
Koreshi Asaidia Watu Kurudi Kutoka Uhamishoni 1 Katika mwaka wa kwanza wa Koreshi mfalme wa Uajemi, ili kutimiza neno laBwanalililosemwa na Yeremia,Bwanaaliusukuma moyo wa Koreshi mfalme wa Uajemi kutangaza katika himaya yake yote na kuliweka katika maandishi: 2 “Hili ndilo asemalo Koreshi mfalme wa Uajemi: “ ‘Bwana, Mungu wa mbinguni, amenipa falme zote za duniani […]
Ezra 2
Orodha Ya Watu Waliorudi Kutoka Uhamishoni 1 Basi hawa ndio watu wa jimbo, waliotoka uhamishoni ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirejea Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake, 2 wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana): Orodha ya watu wa Israeli […]
Ezra 3
Madhabahu Yajengwa Tena 1 Mwezi wa saba ulipowadia baada ya Waisraeli kukaa katika miji yao, watu wote walikusanyika huko Yerusalemu kama mtu mmoja. 2 Yeshua mwana wa Yosadaki na makuhani wenzake, Zerubabeli mwana wa Shealtieli pamoja na wenzake walianza kujenga madhabahu ya Mungu wa Israeli ili kumtolea dhabihu za sadaka za kuteketezwa kwa moto juu […]
Ezra 4
Upinzani Kuhusu Ujenzi Mpya 1 Adui za Yuda na Benyamini waliposikia kwamba watu waliorudi kutoka uhamishoni wanajenga Hekalu kwa ajili yaBwana, Mungu wa Israeli, 2 wakamjia Zerubabeli na viongozi wa jamaa, nao wakasema, “Turuhusuni tuwasaidie kujenga, kwa sababu sisi tunamtafuta Mungu wenu kama ninyi na tumekuwa tukimtolea dhabihu tangu wakati wa Esar-hadoni mfalme wa Ashuru, […]