Amazia Mfalme Wa Yuda 1 Amazia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka ishirini na tisa. Mama yake aliitwa Yehoadani kutoka Yerusalemu. 2 Akatenda yaliyo mema machoni paBwana, lakini si kwa moyo wake wote. 3 Baada ya ufalme wote kuimarika katika milki yake, aliwaua maafisa waliomwua […]
Monthly Archives: July 2017
2 Mambo ya nyakati 26
Uzia Mfalme Wa Yuda 1 Kisha watu wote wa Yuda wakamtwaa Uzia, aliyekuwa na umri wa miaka kumi na sita, nao wakamfanya mfalme mahali pa Amazia baba yake. 2 Yeye ndiye aliyejenga upya Elathi kuirudisha kwa Yuda baada ya Amazia kulala pamoja na baba zake. 3 Uzia alikuwa na umri wa miaka kumi na sita […]
2 Mambo ya nyakati 27
Yothamu Mfalme Wa Yuda 1 Yothamu alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na sita. Mama yake aliitwa Yerusha binti Sadoki. 2 Akafanya yaliyo mema machoni paBwanakama vile Uzia baba yake alivyokuwa amefanya, lakini tofauti na yeye, hakuingilia huduma za hekaluni mwaBwana. Lakini hata hivyo, watu […]
2 Mambo ya nyakati 28
Ahazi Mfalme Wa Yuda 1 Ahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala. Akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na sita. Tofauti na Daudi baba yake, hakufanya yaliyo mema machoni paBwana. 2 Akaziendea njia za wafalme wa Israeli na pia akasubu sanamu kwa ajili ya kuabudu Mabaali. 3 Akatoa sadaka za kuteketezwa katika […]
2 Mambo ya nyakati 29
Hezekia Mfalme Wa Yuda 1 Hezekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala. Akatawala huko Yerusalemu kwa miaka ishirini na tisa. Mama yake aliitwa Abiya binti Zekaria. 2 Akafanya yaliyo mema machoni paBwanasawasawa na alivyokuwa amefanya Daudi baba yake. 3 Katika mwezi wa kwanza wa mwaka wa kwanza wa kutawala kwake alifungua […]
2 Mambo ya nyakati 30
Hezekia Aadhimisha Pasaka 1 Hezekia akatuma ujumbe kuwaita Israeli wote na Yuda, pia akaandika barua kwa Efraimu na Manase, kuwakaribisha ili waje hekaluni mwaBwanahuko Yerusalemu kuadhimisha Pasaka kwaBwana, Mungu wa Israeli. 2 Mfalme na maafisa wake pamoja na kusanyiko lote katika Yerusalemu waliamua kuadhimisha Pasaka katika mwezi wa pili. 3 Kwa sababu makuhani hawakuwa wamejitakasa […]
2 Mambo ya nyakati 31
Sehemu Za Ibada Za Kipagani Zaondolewa 1 Baada ya mambo haya yote kumalizika, Waisraeli ambao walikuwako huko wakaenda kwenye miji ya Yuda, wakayavunja yale mawe ya kuabudia na kuzikatakata zile nguzo za Ashera. Wakabomoa mahali pa juu pa kuabudia miungu pamoja na madhabahu zake kila mahali katika Yuda na Benyamini na katika Efraimu na Manase. […]
2 Mambo ya nyakati 32
Senakeribu Aitishia Yerusalemu 1 Baada ya yale yote aliyokuwa amefanya Hezekia kwa uaminifu mkubwa, Senakeribu, mfalme wa Ashuru akaja na kuivamia Yuda. Akaizunguka kwa jeshi miji yenye ngome, akifikiri kuiteka. 2 Hezekia alipoona kuwa Senakeribu amekuja na kwamba alikusudia kufanya vita juu ya Yerusalemu, 3 akafanya shauri na maafisa wake na mashujaa wake juu ya […]
2 Mambo ya nyakati 33
Manase Mfalme Wa Yuda 1 Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa muda wa miaka hamsini na mitano. 2 Akafanya yaliyo maovu machoni paBwana, akafanya machukizo kama walivyofanya mataifaBwanaaliyoyafukuza mbele ya Waisraeli. 3 Akajenga upya mahali pa juu pa kuabudia miungu ambapo Hezekia baba yake, alikuwa […]
2 Mambo ya nyakati 34
Yosia Afanya Matengenezo 1 Yosia alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka thelathini na mmoja. 2 Akafanya yaliyo mema machoni paBwanana kuenenda katika njia za Daudi baba yake, pasipo kugeuka upande wa kuume wala wa kushoto. 3 Katika mwaka wa nane wa utawala wake, alipokuwa angali bado mdogo, […]