1 Mambo ya Nyakati 10

Sauli Ajiua 1 Basi Wafilisti wakapigana na Israeli. Waisraeli wakawakimbia, wengi wakauawa katika mlima Gilboa. 2 Wafilisti wakawafuatia kwa bidii Sauli na wanawe, wakawaua wanawe Yonathani, Abinadabu na Malki-Shua. 3 Mapigano yakawa makali kumzunguka Sauli na wakati wapiga mishale walipompata, wakamjeruhi. 4 Sauli akamwambia mbeba silaha wake, “Futa upanga wako unichome, la sivyo hawa watu […]

1 Mambo ya Nyakati 11

Daudi Atiwa Mafuta Kuwa Mfalme Wa Israeli 1 Israeli yote walimjia Daudi kwa pamoja huko Hebroni wakamwambia, “Sisi ni nyama yako na damu yako. 2 Wakati wote uliopita, hata wakati Sauli alipokuwa mfalme, wewe ndiwe uliyeiongoza Israeli vitani, nayeBwanaMungu wako alikuambia, ‘Wewe utawachunga watu wangu Israeli, na utakuwa mtawala wao.’ ” 3 Wazee wote wa […]

1 Mambo ya Nyakati 15

Sanduku La Agano Laletwa Yerusalemu 1 Baada ya Daudi kujijengea nyumba zake katika Mji wa Daudi, akatengeneza sehemu kwa ajili ya Sanduku la Mungu, kisha akasimamisha hema kwa ajili yake. 2 Kisha Daudi akasema, “Hakuna mtu ye yote anayeruhusiwa kulibeba Sanduku la Mungu isipokuwa Walawi peke yao, kwa sababuBwanaaliwachagua kulibeba Sanduku laBwanana kuhudumu mbele zake […]

1 Mambo ya Nyakati 18

Ushindi Wa Daudi 1 Baada ya muda, Daudi akawashinda Wafilisti na kuwatiisha, akautwaa Gathi pamoja na vijiji vinavyouzunguka kutoka katika utawala wa Wafilisti. 2 Daudi akawashinda pia Wamoabu, wakawa watumishi wake, nao wakawa wanamletea ushuru. 3 Zaidi ya hayo, Daudi akapigana na Hadadezeri mfalme wa Soba, hadi Hamathi, wakati alipokwenda kuimarisha utawala wake katika Mto […]