Zaburi 134

Wito Wa Kumsifu Mungu

(Wimbo Wa Kwenda Juu)

1 MsifuniBwana, ninyi nyote

watumishi waBwana,

ninyi mnaotumika usiku

ndani ya nyumba yaBwana.

2 Inueni mikono yenu katika mahali patakatifu

na mumsifuBwana.

3 NayeBwana, Muumba wa mbingu na dunia,

awabariki kutoka Sayuni.

—https://d1b84921e69nmq.cloudfront.net/337/32k/PSA/134-0ab0f077880d8b738f1866dcc6bb3977.mp3?version_id=1627—

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

5 × 1 =