1 Timotheo 1

1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na ya Kristo Yesu tumaini letu. 2 Kwa Timotheo, mwanangu hasa katika imani: Neema, rehema na amani kutoka kwa Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Bwana wetu. Maonyo Dhidi Ya Walimu Wa Uongo 3 Kama nilivyokusihi kuendelea kubaki Efeso, wakati nilipokwenda Makedonia, ili […]

1 Timotheo 2

Maagizo Kuhusu Kuabudu 1 Awali ya yote, nasihi, kwanza kabisa, naagiza kwamba dua, sala, maombezi na shukrani zifanyike kwa ajili ya watu wote: 2 kwa ajili ya wafalme na wale wote wenye mamlaka, ili tupate kuishi kwa amani na utulivu, katika uchaji wote wa Mungu na utakatifu. 3 Jambo hili ni jema tena linapendeza machoni […]

1 Timotheo 3

Sifa Za Waangalizi 1 Hili ni neno la kuaminiwa, kwamba mtu akitamani kazi ya uangalizi, atamani kazi nzuri. 2 Basi, imempasa mwangalizi awe mtu asiye na lawama, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi, anayejitawala, anayeheshimika, mkarimu, ajuaye kufundisha, 3 asiwe mlevi, wala mkali bali awe mpole, asiwe mgomvi wala mpenda fedha. 4 Lazima aweze kuisimamia […]

1 Timotheo 4

Maagizo Kwa Timotheo 1 Roho asema waziwazi kwamba katika siku za mwisho baadhi ya watu wataiacha imani na kufuata roho zidanganyazo na mafundisho ya mashetani. 2 Mafundisho kama hayo huja kwa kupitia kwa waongo ambao ni wanafiki hali dhamiri zao zikiungua kwa kuchomwa moto. 3 Wao huwakataza watu wasioe na kuwaagiza wajiepushe na vyakula fulani, […]

1 Timotheo 5

Maagizo Kuhusu Wajane, Wazee Na Watumwa 1 Usimkemee mzee kwa ukali bali umuonye kama vile angekuwa ni baba yako. Uwatendee vijana kama vile ndugu zako, 2 wanawake wazee uwatendee kama mama zako na wanawake vijana kama dada zako, katika usafi wote. 3 Waheshimu wanawake wajane ambao ni wajane kweli kweli. 4 Kama mjane ana watoto […]

1 Timotheo 6

Watumwa 1 Wale wote walio chini ya kongwa la utumwa inawapasa kuwahesabu mabwana zao kuwa wanastahili heshima yote, ili jina la Mungu lisitukanwe wala mafundisho yetu. 2 Wale watumwa ambao wana mabwana waaminio, haiwapasi kupunguza heshima yao kwa sababu wao ni ndugu, badala yake, wawatumikie hata vizuri zaidi, kwa sababu wale wanaonufaika na huduma yao […]