2 Wathesalonike 1

1 Paulo, Silvanona Timotheo: Kwa kanisa la Wathesalonike mlio katika Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo: 2 Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo iwe nanyi. Shukrani Na Maombi 3 Ndugu, imetubidi kumshukuru Mungu kwa ajili yenu siku zote, kama ulivyo wajibu wetu, kwa sababu imani yenu inakua zaidi na […]

2 Wathesalonike 2

Yule Mtu Wa Kuasi 1 Ndugu, kuhusu kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanyika kwetu pamoja mbele zake, tunawasihi, 2 msiyumbishwe kwa urahisi wala msitiwe wasiwasi na roho wala neno au barua inayosemekana kuwa imetoka kwetu, isemayo kwamba siku ya Bwana imekwisha kuwako. 3 Mtu ye yote na asiwadanganye kwa namna yo yote kwa […]

2 Wathesalonike 3

Ombi La Kuhitaji Maombi 1 Hatimaye, ndugu, tuombeeni ili kwamba Neno la Bwana lipate kuenea kwa haraka na kuheshimiwa kila mahali, kama vile ilivyokuwa kwa upande wenu. 2 Ombeni pia ili kwamba tupate kuokolewa kutokana na watu waovu na wabaya, kwa maana si kila mmoja ana imani. 3 Lakini Bwana ni mwaminifu, naye atawaimarisha ninyi […]