Hagai 1

Wito Wa Kuijenga Nyumba Ya Bwana 1 Katika mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Dario wa Uajemi, katika siku ya kwanza ya mwezi wa sita, neno laBwanalilikuja kupitia kwa nabii Hagai kwenda kwa Zerubabeli mwana wa Shealtieli, mtawala wa Yuda na kwa Kuhani Mkuu Yoshuamwana wa Yehosadaki: 2 Hivi ndivyo asemavyoBwanaMwenye Nguvu Zote: “Hawa […]

Hagai 2

Utukufu Ulioahidiwa Wa Nyumba Mpya 1 Katika siku ya ishirini na moja ya mwezi wa saba, neno laBwanalilikuja kupitia nabii Hagai, kusema, 2 “Sema na Zerubabeli mwana wa Shealtieli, mtawala wa Yuda, Kuhani Mkuu Yoshua mwana wa Yehosadaki na mabaki ya watu. Uwaulize, 3 ‘Ni nani miongoni mwenu aliyebaki ambaye aliiona hii nyumba katika utukufu […]