Hesabu 1

Watu Wahesabiwa Kwa Mara Ya Kwanza 1 Bwanaalisema na Mose katika Jangwa la Sinai, katika Hema la Kukutania, siku ya kwanza ya mwezi wa pili, katika mwaka wa pili baada ya Waisraeli kutoka nchi ya Misri. Akamwambia, 2 “Hesabu watu wa jumuiya yote ya Waisraeli kwa kufuata koo zao na jamaa zao, ukiorodhesha kila mwanaume […]

Hesabu 2

Mpangilio Wa Kambi Za Makabila 1 Bwanaaliwaambia Mose na Aroni: 2 “Waisraeli watapiga kambi zao kuzunguka Hema la Kukutania kwa umbali fulani kutoka kwenye hema, kila mwanaume chini ya alama yake pamoja na bendera ya jamaa yake.” 3 Kwa upande wa mashariki kuelekea maawio ya jua, kambi ya makundi ya Yuda watapiga kambi chini ya […]

Hesabu 3

Walawi 1 Hii ni hesabu ya jamaa ya Aroni na Mose kwa wakati uleBwanaalipozungumza na Mose, katika Mlima Sinai. 2 Majina ya wana wa Aroni yalikuwa: Nadabu mzaliwa wa kwanza na Abihu, Eleazari na Ithamari. 3 Hayo yalikuwa majina ya wana wa Aroni, makuhani wapakwa mafuta, ambao walikuwa wamesimikwa kuhudumu kama makuhani. 4 Hata hivyo […]

Hesabu 4

Wakohathi 1 Bwanaakawaambia Mose na Aroni, 2 “Wahesabu Wakohathi walio sehemu ya Walawi kwa koo zao na jamaa zao. 3 Wahesabu wanaume wote wenye umri wa miaka thelathini hadi hamsini wanaokuja kutumika katika kazi ya Hema la Kukutania. 4 “Hii ndiyo kazi ya Wakohathi katika Hema la Kukutania: Watatunza vitu vilivyo vitakatifu sana. 5 Wakati […]

Hesabu 5

Utakaso Wa Kambi 1 Bwanaakamwambia Mose, 2 “Waamuru Waisraeli kumtoa nje ya kambi mtu ye yote ambaye ana ugonjwa wa ngozi uambukizao, au anayetokwa na majimaji ya aina yo yote, au ambaye ni najisi kwa utaratibu wa ibada kwa sababu ya maiti. 3 Hii itakuwa ni kwa wote, yaani, wanaume na wanawake; watoeni nje ya […]

Hesabu 6

Mnadhiri 1 Bwanaakamwambia Mose, 2 “Sema na Waisraeli na uwaambie: ‘Ikiwa mwanaume au mwanamke anataka kuweka nadhiri maalum, nadhiri ya kutengwa kwa ajili yaBwanakama Mnadhiri, 3 ni lazima ajitenge na mvinyo na kinywaji kingine cho chote chenye chachu, na kamwe asinywe siki itokanayo na mvinyo au itokanayo na kinywaji kingine chenye chachu. Kamwe asinywe maji […]

Hesabu 7

Sadaka Wakati Wa Kuweka Wakfu Maskani Ya Bwana 1 Mose alipomaliza kuisimamisha Maskani, aliitia mafuta na kuiweka wakfu pamoja na samani zake zote. Pia alitia madhabahu mafuta na kuweka wakfu pamoja na vyombo vyake vyote. 2 Ndipo viongozi wa Israeli, wale wakuu wa jamaa waliokuwa viongozi wa kabila wasimamizi wa wale waliohesabiwa, wakatoa sadaka. 3 […]

Hesabu 8

Kuwekwa Kwa Taa 1 Bwanaakamwambia Mose, 2 “Sema na Aroni umwambie, ‘Wakati utakapoziweka zile taa saba, zinatakiwa kuangaza eneo lililo mbele ya kinara cha taa.’ ” 3 Aroni akafanya hivyo; akaziweka zile taa ili zielekee mbele kwenye kinara cha taa, kama vileBwanaalivyomwamuru Mose. 4 Hivi ndivyo kinara cha taa kilivyotengenezwa: Kilitengenezwa kwa dhahabu iliyofuliwa, kuanzia […]

Hesabu 9

Pasaka Huko Sinai 1 Bwanaakasema na Mose katika Jangwa la Sinai katika mwezi wa kwanza wa mwaka wa pili baada ya Waisraeli kutoka Misri. Akasema, 2 “Waamuru Waisraeli waadhimishe Pasaka katika wakati ulioamuriwa. 3 Adhimisheni wakati ulioamuriwa, yaani wakati wa kuzama jua siku ya kumi na nne ya mwezi huu, kufuatana na desturi zake zote […]

Hesabu 10

Tarumbeta Za Fedha 1 Bwanaakamwambia Mose: 2 “Tengeneza tarumbeta mbili za fedha ya kufua, uzitumie kwa kuita jumuiya pamoja na wakati wa kuvunja makambi ili kuondoka. 3 Tarumbeta zote mbili zikipigwa, jumuiya yote itakusanyika mbele yako katika ingilio la Hema la Kukutania. 4 Kama tarumbeta moja tu ikipigwa, viongozi, yaani wakuu wa koo za Israeli, […]