Nahumu 1

1 Neno alilosema Mungu kuhusu Ninawi. Kitabu cha maono cha Nahumu, Mwelkoshi. Hasira Ya Mungu Dhidi Ya Ninawi 2 Bwanani mwenye wivu na Mungu mlipiza kisasi; Bwanahulipiza kisasi na amejaa ghadhabu. Bwanahulipiza kisasi juu ya watesi wake, naye anadumisha ghadhabu yake dhidi ya adui zake. 3 Bwanasi mwepesi wa hasira naye ni mwenye nguvu, Bwanahataacha […]

Nahumu 2

Ninawi Kuanguka 1 Mshambuliaji anasogea dhidi yako, Ninawi. Linda ngome, chunga barabara, jitieni nguvu wenyewe, kusanya nguvu zako zote! 2 Bwanaatarudisha fahari ya Yakobo, kama fahari ya Israeli, ingawa waangamizi wamewaacha ukiwa na wameharibu mizabibu yao. 3 Ngao za askari wake ni nyekundu, mashujaa wamevaa nguo nyekundu. Chuma kwenye magari ya vita chametameta, katika siku […]

Nahumu 3

Ole Wa Ninawi 1 Ole wa mji umwagao damu, uliojaa uongo, umejaa nyara, usiokosa kuwa na vitu vya kuteka nyara. 2 Kelele za mijeledi, vishindo vya magurudumu, farasi waendao mbio na mshtuo wa magari ya vita! 3 Wapanda farasi wanaenda mbio, panga zinameremeta, na mikuki inang’aa! Majeruhi wengi, marundo ya maiti, idadi kubwa ya miili […]