Adamu Hadi Wana Wa Noa 1 Adamu, Sethi, Enoshi, 2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi, 3 Henoko, Methusela, Lameki, Noa. 4 Wana wa Noa: Shemu, Hamu na Yafethi. Wana Wa Yafethi 5 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi. 6 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma. 7 Wana wa Yavani […]
Category Archives: 1 Mambo ya Nyakati
1 Mambo ya Nyakati 2
Wana Wa Israeli 1 Hawa ndio waliokuwa wana wa Israeli: Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Zabuloni, 2 Dani, Yosefu, Benyamini, Naftali, Gadi na Asheri. Yuda Hadi Wana Wa Hesroni 3 Wana wa Yuda walikuwa: waliozaliwa kwake na mkewe Mkanaani, binti wa Shua: ni Eri, Onani na Shela. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mwovu […]
1 Mambo ya Nyakati 3
Wana Wa Daudi 1 Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni: Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli; wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli; 2 Wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri; Wa nne, Adoniya, ambaye mama […]
1 Mambo ya Nyakati 4
Koo Nyingine Za Yuda 1 Wana wa Yuda walikuwa: Peresi, Hesroni, Karmi, Huri na Shobali. 2 Reaya mwana wa Shobali akamzaa Yahathi, Yahathi akawazaa Ahumai na Lahadi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Wasorathi. 3 Hawa ndio waliokuwa wana wa Etamu: Yezreeli, Ishma na Idbashi. Dada yao aliitwa Haselelponi. 4 Penueli akamzaa Gedori, naye Ezeri akamzaa […]
1 Mambo ya Nyakati 5
Wana Wa Reubeni 1 Wana wa Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli (yeye alikuwa mzaliwa wa kwanza, lakini kwa kuwa alikinajisi kitanda cha baba yake, haki zake za mzaliwa wa kwanza walipewa wana wa Yosefu mwana wa Israeli, hivyo hakuorodheshwa kwenye orodha ya ukoo wao kulingana na haki yake ya kuzaliwa, 2 ingawa Yuda alikuwa […]
1 Mambo ya Nyakati 6
Wana Wa Lawi 1 Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari. 2 Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli. 3 Amramu alikuwa na wana: Aroni, Mose, na Miriamu. Aroni alikuwa na wana: Nadabu, Abihu, Eliyazari na Ithamari. 4 Eliyazari akamzaa Finehasi, Finehasi akamzaa Abishua, 5 Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi, 6 […]
1 Mambo ya Nyakati 7
Wana Wa Isakari 1 Wana wa Isakari walikuwa: Tola, Pua, Yashubu na Shimroni; wote ni wanne. 2 Wana wa Tola walikuwa: Uzi, Refaia, Yerieli, Yahmai, Ibsamu na Shemueli waliokuwa viongozi wa jamaa zao. Wakati wa utawala wa Mfalme Daudi, wazao wa Tola walioorodheshwa kama wapiganaji katika ukoo wao walikuwa watu 22,600. 3 Mwana wa Uzi […]
1 Mambo ya Nyakati 8
Ukoo Wa Sauli Mbenyamini 1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu, 2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano. 3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi, 4 Abishua, Naamani, Ahoa, 5 Gera, Shefufani na Huramu. 6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi […]
1 Mambo ya Nyakati 9
1 Waisraeli wote waliorodheshwa katika koo zilizoandikwa kwenye kitabu cha wafalme wa Israeli. Watu Katika Yerusalemu Watu wa Yuda walichukuliwa mateka kwenda Babeli kwa sababu ya kukosa uaminifu kwa Mungu. 2 Basi watu wa kwanza kurudi kukaa kwenye milki zao katika miji yao walikuwa baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi na Wanethini. 3 Wale waliotoka Yuda, […]
1 Mambo ya Nyakati 10
Sauli Ajiua 1 Basi Wafilisti wakapigana na Israeli. Waisraeli wakawakimbia, wengi wakauawa katika mlima Gilboa. 2 Wafilisti wakawafuatia kwa bidii Sauli na wanawe, wakawaua wanawe Yonathani, Abinadabu na Malki-Shua. 3 Mapigano yakawa makali kumzunguka Sauli na wakati wapiga mishale walipompata, wakamjeruhi. 4 Sauli akamwambia mbeba silaha wake, “Futa upanga wako unichome, la sivyo hawa watu […]