Sadaka Ya Kuteketezwa 1 Bwanaakamwita Mose na kusema naye kutoka kwenye Hema la Kukutania, akamwambia, 2 “Sema na Waisraeli na uwaambie, ‘Ye yote miongoni mwenu aletapo sadaka ya mnyama kwaBwana, alete mnyama kama sadaka yake kutoka kundi lake la ng’ombe au la kondoo na mbuzi. 3 “ ‘Kama sadaka hiyo ni ya kuteketezwa kutoka kwenye […]
Category Archives: Mambo ya Walawi
Mambo ya Walawi 2
Sadaka Ya Nafaka 1 “ ‘Mtu ye yote aletapo sadaka ya nafaka kwaBwana, sadaka yake itakuwa ya unga laini. Atamimina mafuta juu yake, aweke uvumba juu yake 2 naye atapeleka kwa makuhani wana wa Aroni. Kuhani atachukua konzi moja iliyojaa unga laini na mafuta, pamoja na uvumba wote na kuuteketeza kama sehemu ya kumbukumbu juu […]
Mambo ya Walawi 3
Sadaka Ya Amani 1 “ ‘Kama sadaka ya mtu ni sadaka ya amani, naye akatoa ng’ombe kutoka katika kundi, akiwa dume au jike, atamleta huyo mbele zaBwanamnyama asiye na dosari. 2 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha hiyo sadaka yake na kumchinja penye ingilio la Hema la Kukutania. Ndipo makuhani wana wa Aroni watanyunyiza […]
Mambo ya Walawi 4
Sadaka Ya Dhambi 1 Bwanaakamwambia Mose, 2 “Waambie Waisraeli: ‘Mtu ye yote afanyapo dhambi bila kukusudia na akatenda lile lililokatazwa katika amri yo yote yaBwana: 3 “ ‘Ikiwa kuhani aliyetiwa mafuta amefanya dhambi na kuwaletea watu hatia, lazima alete kwaBwanafahali mchanga asiye na dosari, kuwa sadaka ya dhambi kwa ajili ya dhambi aliyotenda. 4 Atamkabidhi […]
Mambo ya Walawi 5
Sadaka Nyingine Za Kuondoa Dhambi 1 “ ‘Ikiwa mtu atakuwa ametenda dhambi kwa sababu hakusema alipotakiwa kutoa ushahidi hadharani kuhusu jambo aliloona au kujua habari zake, yeye anastahili adhabu. 2 “ ‘Au kama mtu akigusa kitu cho chote ambacho si safi kwa kawaida ya ibada, kama ni mizoga ya wanyama pori walio najisi, au ya […]
Mambo ya Walawi 6
Kurudisha Kilichochukuliwa 1 Bwanaakamwambia Mose: 2 “Kama mtu ye yote akitenda dhambi naye si mwaminifu kwaBwanakwa kumdanganya jirani yake kuhusu kitu fulani alichokabidhiwa au kimeachwa chini ya utunzaji wake au kimeibwa, au kama akimdanganya, 3 au akiokota mali iliyopotea na akadanganya au kuapa kwa uongo, au kama akitenda dhambi yo yote ambayo watu waweza kuitenda; […]
Mambo ya Walawi 7
Sadaka Ya Hatia 1 “ ‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya sadaka ya hatia, ambayo ni takatifu sana: 2 Sadaka ya hatia itachinjiwa mahali pale ambapo sadaka ya kuteketezwa huchinjiwa, damu yake itanyunyizwa pande zote za madhabahu. 3 Mafuta yake yote yatatolewa sadaka: mafuta ya mkia na mafuta yale yanayofunika sehemu za ndani, 4 figo […]
Mambo ya Walawi 8
Kuwekwa Wakfu Kwa Aroni Na Wanawe 1 Bwanaakamwambia Mose, 2 “Mletee Aroni na wanawe mavazi yao, mafuta ya upako, fahali kwa ajili ya sadaka ya dhambi, kondoo waume wawili na kikapu chenye mikate iliyotengenezwa bila chachu, 3 kisha kusanya mkutano wote kwenye ingilio la Hema la Kukutania.” 4 Mose akafanya kamaBwanaalivyomwagiza, mkutano ukakusanyika kwenye ingilio […]
Mambo ya Walawi 9
Makuhani Waanza Huduma Yao 1 Katika siku ya nane Mose akawaita Aroni na wanawe na wazee wa Israeli. 2 Akamwambia Aroni, “Chukua ndama dume kwa ajili ya sadaka yako ya dhambi na kondoo dume kwa sadaka yako ya kuteketezwa, wote wawili wasiwe na dosari, nao uwalete mbele zaBwana. 3 Kisha waambie Waisraeli: ‘Chukueni mbuzi dume […]
Mambo ya Walawi 10
Kifo Cha Nadabu Na Abihu 1 Nadabu na Abihu wana wa Aroni wakachukua vyetezo vyao, wakaweka moto ndani yake na kuongeza uvumba; kisha wakamtoleaBwanamoto usio halali, kinyume na agizo la Mungu. 2 Hivyo moto ukaja kutoka katika uwepo waBwanana kuwaramba, nao wakafa mbele zaBwana. 3 Kisha Mose akamwambia Aroni, “Hili ndilo alilonenaBwanawakati aliposema: “ ‘Miongoni […]