Ruthu 1

Naomi Na Ruthu 1 Wakati Waamuzi walipotawala Israeli, kulikuwa na njaa katika nchi, akaondoka mtu mmoja kutoka nchi ya Bethlehemu ya Yuda pamoja na mke wake na wanawe wawili, akaenda kuishi katika nchi ya Moabu. 2 Mtu huyu aliitwa Elimeleki, mkewe aliitwa Naomi, na hao wanawe wawili waliitwa Maloni na Kilioni. Walikuwa Waefrathi kutoka Bethlehemu […]

Ruthu 2

Ruthu Akutana Na Boazi 1 Basi Naomi alikuwa na jamaa wa upande wa mume wake, kutoka katika ukoo wa Elimeleki, jina lake aliitwa Boazi. 2 Ruthu, Mmoabi, akamwambia Naomi, “Nitakwenda mashambani nikaokote mabaki ya nafaka nyuma ya yule nitakayepata kibali machoni pake.” Naomi akamwambia, “Nenda, binti yangu.” 3 Basi akaenda, akaokota mabaki ya nafaka nyuma […]

Ruthu 3

Ruthu Na Boazi Kwenye Sakafu Ya Kupuria 1 Kisha Naomi akamwambia mkwewe, “Binti yangu, je, nisingelikutafutia pumziko ambako utatunzika vyema? 2 Je, Boazi, ambaye umekuwa pamoja na watumishi wake wasichana, si jamaa yetu wa karibu? Usiku wa leo atakuwa anapepeta ngano kwenye sakafu ya kupuria. 3 Basi oga na ukajipake marashi, ujivalie nguo zako nzuri. […]

Ruthu 4

Boazi Amwoa Ruthu 1 Boazi akakwea mpaka kwenye lango la mji, akaketi pale. Kisha muda si mrefu yule mtu wa jamaa aliyekuwa wa karibu wa kukomboa, ambaye Boazi alimtaja, akaja. Boazi akasema, “Njoo hapa rafiki yangu, karibu uketi.” Naye akakaribia, akaketi. 2 Boazi akatwaa watu kumi miongoni mwa wazee wa mji, akawaambia, “Ketini hapa.” Nao […]