Danieli 11

1 Nami katika mwaka wa kwanza wa kutawala kwake Dario, Mmedi, nilisimama kumsaidia na kumlinda.) Wafalme Wa Kusini Na Wa Kaskazini 2 “Sasa basi, ninakuambia kweli: Wafalme watatu zaidi watatokea Uajemi, kisha atatokea mfalme wa nne, ambaye atakuwa tajiri sana kuliko wengine wote. Wakati atakapokuwa amekwisha kujipatia nguvu kwa utajiri wake, atamchochea kila mmoja dhidi […]

Danieli 12

Nyakati Za Mwisho 1 “Katika wakati huo Mikaeli, mtawala mkuu ambaye huwalinda watu wako, atainuka. Kutakuwako wakati wa taabu ambao haujatokea tangu mwanzo wa mataifa hadi wakati huo. Lakini wakati huo, watu wako, kila mmoja ambaye jina lake litakutwa limeandikwa kwenye kitabu, ataokolewa. 2 Watu wengi ambao wamelala kwenye mavumbi wataamka, baadhi yao kwa uzima […]