2 Wafalme 21

Manase Mfalme Wa Yuda 1 Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili alipoanza kutawala, akatawala katika Yerusalemu kwa miaka hamsini na mitano. Jina la mama yake aliitwa Hefsiba. 2 Akafanya maovu machoni paBwana, akafuata desturi za machukizo za mataifa ambayoBwanaaliyafukuza mbele ya Waisraeli. 3 Akajenga tena mahali pa juu pa kuabudia miungu ambapo […]

2 Wafalme 22

Kitabu Cha Torati Chapatikana 1 Yosia alikuwa na miaka minane alipoanza kutawala, naye akatawala katika Yerusalemu miaka thelathini na mmoja. Jina la mama yake aliitwa Yedida binti Adaya, kutoka Boskathi. 2 Akafanya yaliyo mema machoni paBwanana kuenenda katika njia zote za Daudi baba yake, bila kugeuka upande wa kuume wala wa kushoto. 3 Katika mwaka […]

2 Wafalme 23

Yosia Analifanya Upya Agano 1 Kisha mfalme akawaita pamoja wazee wote wa Yuda na Yerusalemu. 2 Akapanda mpaka kwenye Hekalu laBwanapamoja na watu wa Yuda, watu wa Yerusalemu, makuhani na manabii, watu wote kuanzia aliye mdogo hadi aliye mkubwa kabisa. Akasoma wakiwa wanasikia maneno yote ya Kitabu cha Agano, ambacho kilikuwa kimepatikana katika Hekalu laBwana. […]

2 Wafalme 24

1 Wakati wa utawala wa Yehoiakimu, Nebukadneza mfalme wa Babeli aliishambulia nchi, naye Yehoiakimu akawa mtumwa wake kwa miaka mitatu. Lakini hatimaye akabadili mawazo yake na kuasi dhidi ya Nebukadneza. 2 Bwanaakatuma Wakaldayo, Waaramu, Wamoabu na Waamoni ili kumshambulia ghafula. Aliwatuma kuiangamiza Yuda sawasawa na neno laBwanalililosemwa na watumishi wake manabii. 3 Hakika mambo haya […]