Hesabu 31

Kulipiza Kisasi Juu Ya Wamidiani 1 Bwanaakamwambia Mose, 2 “Uwalipize kisasi Wamidiani kwa ajili ya Waisraeli. Halafu baada ya hayo, utakufa.” 3 Kwa hiyo Mose akawaambia watu, “Waandaeni baadhi ya wanaume wenu waende vitani kupigana na Wamidiani ili wawalipize kisasi chaBwana. 4 Peleka wanaume 1,000 vitani kutoka kila kabila la Israeli.” 5 Kwa hiyo waliandaliwa […]

Hesabu 32

Makabila Ng’ambo Ya Yordani 1 Kabila la Wareubeni na Wagadi, ambao walikuwa na makundi makubwa ya ng’ombe, kondoo na mbuzi, waliona kuwa nchi ya Yazeri na nchi ya Gileadi ni nzuri kwa mifugo. 2 Hivyo walimjia Mose, na kuhani Eleazari na viongozi wa jumuiya, na kuwaambia, 3 “Atarothi, Diboni, Yazeri, Nimra, Heshboni, Eleale, Sebamu, Nebo […]

Hesabu 33

Vituo Katika Safari Ya Waisraeli 1 Hivi ndivyo vituo katika safari ya Waisraeli wakati walipotoka Misri kwa vikosi chini ya uongozi wa Mose na Aroni. 2 Kwa agizo laBwana, Mose aliweka kumbukumbu ya vituo katika safari yao. Hivi ndivyo vituo katika safari yao: 3 Waisraeli walisafiri kutoka Ramesesi katika siku ya kumi na tano ya […]

Hesabu 34

Mipaka Ya Kanaani 1 Bwanaakamwambia Mose, 2 “Waamuru Waisraeli na uwaambie: ‘Mtakapoingia nchi ya Kanaani, nchi ambayo itagawanywa kwenu kama urithi itakuwa na mipaka ifuatayo: 3 “ ‘Upande wenu wa kusini utajumuisha sehemu ya Jangwa la Sini kufuata mpaka wa Edomu. Upande wa mashariki mpaka wenu wa kusini utaanzia mwisho wa Bahari ya Chumvi, 4 […]

Hesabu 35

Miji Kwa Ajili Ya Walawi 1 Bwanaakamwambia Mose katika nchi tambarare ya Moabu, kando ya Mto Yordani kuvukia Yeriko, 2 “Waagize Waisraeli kuwapa Walawi miji ya kuishi kutoka urithi ambao Waisraeli wataumiliki. Wape maeneo ya malisho kuzunguka hiyo miji. 3 Kisha watakuwa na miji ya kuishi na maeneo ya malisho kwa ajili ya ng’ombe zao, […]

Hesabu 36

Urithi Wa Binti Za Selofehadi 1 Viongozi wa jamaa ya ukoo wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase, ambao walikuwa wametoka katika koo za wazao wa Yosefu, walikuja na kuzungumza mbele ya Mose na viongozi, wakuu wa jamaa ya Waisraeli. 2 Wakasema, “WakatiBwanaalipomwamuru bwana wangu kuwapa Waisraeli nchi kama urithi kwa kura, alikuamuru kutoa […]