Yoshua Kutawala Baada Ya Mose 1 Kisha Mose akaenda akasema maneno haya kwa Waisraeli wote: 2 “Sasa nina miaka mia moja na ishirini nami siwezi tena kuwaongoza.Bwanaameniambia, ‘Hutavuka Yordani.’ 3 BwanaMungu wenu, yeye mwenyewe atavuka mbele yenu. Ataangamiza mataifa haya mbele yenu, nanyi mtaimiliki nchi yao. Pia Yoshua atavuka mbele yenu, kamaBwanaalivyosema. 4 NayeBwanaatawafanyia watu […]
Category Archives: Kumbukumbu La Torati
Kumbukumbu La Torati 32
1 Sikilizeni, enyi mbingu, nami nitasema; sikia, ee nchi, maneno ya kinywa changu. 2 Mafundisho yangu na yanyeshe kama mvua, na maneno yangu na yashuke kama umande, kama manyunyu juu ya majani mabichi, kama mvua tele juu ya mimea myororo. 3 Nitalitangaza jina laBwana. Naam, sifuni ukuu wa Mungu wetu! 4 Yeye ni Mwamba, kazi […]
Kumbukumbu La Torati 33
Mose Anayabariki Makabila 1 Hii ndiyo baraka Mose mtu wa Mungu aliyotamka kwa Waisraeli kabla ya kifo chake. 2 Alisema: “Bwanaalikuja kutoka Mlima Sinai, akachomoza kama jua juu yao kutoka Mlima Seiri, akaangaza kutoka Mlima Parani. Alikuja pamoja na watakatifu makumi elfu kutoka kusini, kutoka matelemko ya mlima wake. 3 Hakika ni wewe ambaye huwapenda […]
Kumbukumbu La Torati 34
Kifo Cha Mose 1 Kisha Mose akaupanda mlima Nebo kutoka tambarare za Moabu mpaka kilele cha Pisga, ng’ambo ya Yeriko. HukoBwanaakamwonyesha nchi yote: kutoka Gileadi mpaka Dani, 2 Naftali yote, nchi ya Efraimu na Manase, nchi yote ya Yuda mpaka bahari ya magharibi, 3 Negebu na nchi yote kuanzia Bonde la Yeriko, Mji wa Mitende, […]