Kumbukumbu La Torati 13

Kuabudu Miungu Mingine 1 Kama nabii, au yule anayetabiri kwa njia ya ndoto, akijitokeza miongoni mwenu na akawatangazia ishara ya miujiza na ajabu, 2 ikiwa ishara au ajabu ya aliyozungumza ikatokea, naye akasema, “Na tufuate miungu mingine” (miungu ambayo hamjaifahamu) “na tuiabudu,” 3 kamwe msiyasikilize maneno ya nabii wala mwota ndoto huyo.BwanaMungu wenu anawajaribu kuangalia […]

Kumbukumbu La Torati 15

Mwaka Wa Kufuta Madeni 1 Kila mwisho wa miaka saba ni lazima mfute madeni. 2 Hivi ndivyo itakavyofanyika: Kila mkopeshaji atafuta mkopo aliomkopesha Mwisraeli mwenzake. Hatamtaka Mwisraeli mwenzake au ndugu yake amlipe hilo deni, kwa sababu wakati waBwanawa kufuta madeni umetangazwa. 3 Unaweza kudai malipo kwa mgeni, lakini lazima ufute kila deni ambalo ndugu yako […]

Kumbukumbu La Torati 19

Miji Ya Makimbilio 1 WakatiBwanaMungu wenu atakapokuwa amewaangamiza mataifa ambayo nchi yao anawapa ninyi, wakati mtakapokuwa mmewafukuza na kuishi katika miji yao na nyumba zao, 2 ndipo mtenge miji mitatu iliyopo katikati ya nchi kwa ajili yenu, katika nchi ambayoBwanaMungu wenu anawapa kuimiliki. 3 Jengeni barabara katika miji hiyo na kuigawa mara tatu, nchi anayowapaBwanaMungu […]

Kumbukumbu La Torati 20

Kwenda Vitani 1 Mtakapokwenda vitani kupigana na adui zenu na mkaona farasi na magari ya vita na jeshi kubwa kuliko lenu, msiwaogope, kwa sababuBwanaMungu wenu aliyewatoa kutoka Misri, atakuwa pamoja nanyi. 2 Wakati mtakapokaribia kwenda vitani, kuhani atakuja mbele na kuhutubia jeshi. 3 Atasema: “Sikia, Ee Israeli, leo unakwenda vitani kupigana na adui zako. Usife […]