Mpende Na Umtii Bwana 1 MpendeBwanaMungu wako na kushika masharti yake, amri zake, sheria zake na maagizo yake siku zote. 2 Kumbuka hivi leo kwamba sio watoto wako walioona na kujua marudi yaBwanaMungu wako: utukufu wake, mkono wake wenye nguvu, mkono wake ulionyooshwa; 3 ishara alizozifanya na mambo aliyoyafanya katikati ya Misri, kwa Farao mfalme […]
Category Archives: Kumbukumbu La Torati
Kumbukumbu La Torati 12
Mahali Pekee Pa Kuabudia 1 Hizi ndizo amri na sheria ambazo ni lazima mwe waangalifu kuzifuata katika nchi ambayoBwana, Mungu wa baba zenu, amewapa kumiliki, kwa muda wote mtakaoishi katika nchi. 2 Haribuni kabisa kila mahali pao pa kuabudia kwenye milima mirefu, vilima na chini ya kila mti mkubwa ambamo mataifa haya mnayokwenda kuchukua ardhi […]
Kumbukumbu La Torati 13
Kuabudu Miungu Mingine 1 Kama nabii, au yule anayetabiri kwa njia ya ndoto, akijitokeza miongoni mwenu na akawatangazia ishara ya miujiza na ajabu, 2 ikiwa ishara au ajabu ya aliyozungumza ikatokea, naye akasema, “Na tufuate miungu mingine” (miungu ambayo hamjaifahamu) “na tuiabudu,” 3 kamwe msiyasikilize maneno ya nabii wala mwota ndoto huyo.BwanaMungu wenu anawajaribu kuangalia […]
Kumbukumbu La Torati 14
Vyakula Vilivyo Najisi Na Vilivyo Safi 1 Ninyi ni watoto waBwanaMungu wenu. Msijichanje ama kujinyoa upara kwenye paji la uso kwa ajili ya aliyekufa, 2 kwa maana ninyi ni taifa takatifu kwaBwanaMungu wenu.Bwanaamewachagua ninyi kuwa taifa la kipekee kutoka mataifa yote juu ya uso wa dunia, mwe tunu yake. 3 Msile kitu cho chote ambacho […]
Kumbukumbu La Torati 15
Mwaka Wa Kufuta Madeni 1 Kila mwisho wa miaka saba ni lazima mfute madeni. 2 Hivi ndivyo itakavyofanyika: Kila mkopeshaji atafuta mkopo aliomkopesha Mwisraeli mwenzake. Hatamtaka Mwisraeli mwenzake au ndugu yake amlipe hilo deni, kwa sababu wakati waBwanawa kufuta madeni umetangazwa. 3 Unaweza kudai malipo kwa mgeni, lakini lazima ufute kila deni ambalo ndugu yako […]
Kumbukumbu La Torati 16
Pasaka 1 Shikeni mwezi wa Abibu, na kuiadhimisha Pasaka yaBwanaMungu wenu, kwa sababu katika mwezi wa Abibu, Mungu aliwatoa Misri usiku. 2 Mtatoa dhabihu ya Pasaka ya mnyama kwaBwanaMungu wenu kutoka kundi lenu la mbuzi na kondoo au la ng’ombe, mahali pale ambapoBwanaatapachagua kama makao kwa ajili ya Jina lake. 3 Msile nyama hiyo pamoja […]
Kumbukumbu La Torati 17
1 MsimtoleeBwanaMungu wenu dhabihu ya maksai au kondoo ambaye ana dosari yo yote au hitilafu ndani yake, kwa kuwa hilo litakuwa chukizo kwake. 2 Ikiwa mwanaume au mwanamke anayeishi kati ya mojawapo ya miji akupayoBwana, anakutwa anafanya uovu mbele zaBwanaMungu wenu, kwa kuvunja Agano lake, 3 naye amekwenda kinyume na agizo langu kuabudu miungu mingine […]
Kumbukumbu La Torati 18
Sadaka Kwa Makuhani Na Walawi 1 Makuhani ambao ni Walawi, yaani kabila lote la Lawi, hawatakuwa na mgawo wala urithi pamoja na Israeli. Wataishi kwa sadaka zitolewazo kwa ajili yaBwanaza kuteketezwa kwa moto, kwa maana huo ndio urithi wao. 2 Hawatakuwa na urithi miongoni mwa ndugu zao;Bwanandiye urithi wao, kama alivyowaahidi. 3 Hili ndilo fungu […]
Kumbukumbu La Torati 19
Miji Ya Makimbilio 1 WakatiBwanaMungu wenu atakapokuwa amewaangamiza mataifa ambayo nchi yao anawapa ninyi, wakati mtakapokuwa mmewafukuza na kuishi katika miji yao na nyumba zao, 2 ndipo mtenge miji mitatu iliyopo katikati ya nchi kwa ajili yenu, katika nchi ambayoBwanaMungu wenu anawapa kuimiliki. 3 Jengeni barabara katika miji hiyo na kuigawa mara tatu, nchi anayowapaBwanaMungu […]
Kumbukumbu La Torati 20
Kwenda Vitani 1 Mtakapokwenda vitani kupigana na adui zenu na mkaona farasi na magari ya vita na jeshi kubwa kuliko lenu, msiwaogope, kwa sababuBwanaMungu wenu aliyewatoa kutoka Misri, atakuwa pamoja nanyi. 2 Wakati mtakapokaribia kwenda vitani, kuhani atakuja mbele na kuhutubia jeshi. 3 Atasema: “Sikia, Ee Israeli, leo unakwenda vitani kupigana na adui zako. Usife […]