Upatanisho Kuhusu Mauaji 1 Kama mtu akikutwa ameuawa, naye amelala kwenye shamba katika nchi ambayoBwanaMungu wenu anawapa kuimiliki, wala haijulikani ni nani aliyemwua, 2 wazee wenu na waamuzi watatoka na kupima umbali kutoka maiti alipolala mpaka kwenye miji ya jirani. 3 Kisha wazee wa ule mji uliokaribu zaidi na yule maiti watamchukua mtamba ambaye hajapata […]
Category Archives: Kumbukumbu La Torati
Kumbukumbu La Torati 22
1 Kama ukimwona ng’ombe au kondoo wa ndugu yako anapotea, usipuuze, bali uhakikishe unamrudisha kwa mwenyewe. 2 Ikiwa huyo ndugu haishi karibu nawe au kama hufahamu yeye ni nani, mchukue nyumbani kwako huyo mnyama umweke mpaka mwenyewe aje kumtafuta. Ndipo umrudishie. 3 Fanya vivyo hivyo ukimkuta punda wa nduguyo au joho lake au cho chote […]
Kumbukumbu La Torati 23
Kutengwa Na Mkutano 1 Asiingie mtu ye yote aliyehasiwa kwa kupondwa makende au kwa kukatwa uume wake katika kusanyiko laBwana. 2 Mtu ye yote ambaye amezaliwa kwenye ndoa isiyo halali au wazao wake wasiingie kwenye kusanyiko laBwana, hata mpaka kizazi cha kumi. 3 Hapatakuwa na Mwamori au Mmoabi au ye yote wa wazao wao atakayeruhusiwa […]
Kumbukumbu La Torati 24
Sheria Kuhusu Ndoa Na Talaka 1 Ikiwa mtu atamwoa mke na akamchukia kwa sababu ya kukosa adabu, akamwandikia hati ya talaka, akampa na kumfukuza kutoka nyumbani kwake, 2 ikiwa baada ya kuondoka nyumbani kwake atakuwa mke wa mtu mwingine, 3 ikiwa mume wake wa pili atachukizwa naye akamwandikia hati ya talaka, akampa na kumfukuza kutoka […]
Kumbukumbu La Torati 25
1 Watu wanapokuwa na ugomvi, wapeleke mahakamani na waamuzi wataamua shauri hilo; watawaachia wasio na kosa na kuwahukumu wenye hatia. 2 Kama mtu mwenye hatia anastahili kuchapwa, mwamuzi atamwamuru alale chini ili achapwe mbele yake idadi ya viboko kulingana na kosa lake, 3 lakini kamwe asichapwe zaidi ya viboko arobaini. Ikiwa atachapwa zaidi ya viboko […]
Kumbukumbu La Torati 26
Malimbuko Na Zaka 1 Mtakapokuwa mmeingia nchi ile ambayoBwanaMungu wenu anawapa kama urithi na mtakapokuwa mmeimiliki na kukaa ndani yake, 2 chukueni baadhi ya mavuno ya kwanza ya yale yote mtakayozalisha kutoka udongo wa nchi ambayoBwanaMungu wenu anawapa na mweke kwenye kapu. Kisha uende mahali ambapoBwanaMungu wako atapachagua kuwa makao kwa ajili ya Jina lake […]
Kumbukumbu La Torati 27
Madhabahu Katika Mlima Ebali 1 Mose na wazee wa Israeli wakawaagiza watu: “Yashikeni maagizo haya yote ninayowaagiza leo. 2 Mtakapokuwa mmevuka Mto Yordani na kuingia katika nchi awapayoBwanaMungu wenu, msimamishe mawe makubwa na mkayatie lipu. 3 Andikeni juu yake maneno yote ya sheria hii wakati mtakapokuwa mmevuka na kuingia katika nchi awapayoBwanaMungu wenu, nchi itiririkayo […]
Kumbukumbu La Torati 28
Baraka Kwa Ajili Ya Utii 1 Kama ukimtiiBwanaMungu wako kwa bidii na kufuata amri zake zote ninazokupa leo kwa bidii,BwanaMungu wako atakuweka juu ya mataifa yote katika dunia. 2 Baraka hizi zote zitakuja juu yako na kukupata, kama ukimtiiBwanaMungu wako: 3 Utabarikiwa mjini na utabarikiwa mashambani. 4 Utabarikiwa uzao wa tumbo lako, na mazao ya […]
Kumbukumbu La Torati 29
Kufanya Upya Agano 1 Haya ndiyo maneno ya AganoBwanaaliyomwagiza Mose kufanya na Waisraeli huko Moabu, kuwa nyongeza ya Agano alilofanya nao huko Horebu. 2 Mose akawaita Waisraeli wote akawaambia: Macho yenu yameona yale yoteBwanaaliyofanya kwa Mfalme Farao huko Misri, kwa maafisa wake wote na kwa nchi yake yote. 3 Kwa macho yenu wenyewe mliona yale […]
Kumbukumbu La Torati 30
Mafanikio Baada Ya Kumgeukia Bwana 1 Wakati baraka hizi zote pamoja na laana nilizoziweka mbele yako zitakapokujia, nawe ukazitafakari moyoni popoteBwanaMungu wako atakapokutawanya miongoni mwa mataifa, 2 hapo wewe na watoto wako mtakapomrudiaBwanaMungu wako, na kumtii kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote kulingana na kila kitu ninachokuamuru leo, 3 ndipoBwanaMungu wako atakapokurudisha […]