Daudi Ahesabu Wapiganaji 1 Shetani akainuka dhidi ya Israeli na kumshawishi Daudi ahesabu watu wa Israeli. 2 Kwa hiyo Daudi akamwambia Yoabu na majemadari wa jeshi, “Nendeni mkawahesabu Waisraeli kuanzia Beer-Sheba mpaka Dani. Kisha nileteeni taarifa ili kwamba niweze kufahamu wako wangapi.” 3 Yoabu akajibu, “Bwanana aongeze jeshi lake mara mia na zaidi. Mfalme bwana […]
Category Archives: 1 Mambo ya Nyakati
1 Mambo ya Nyakati 22
1 Ndipo Daudi akasema, “Nyumba yaBwanaMungu itakuwa mahali hapa, pia pamoja na madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya Israeli.” Maandalizi Kwa Ajili Ya Hekalu 2 Kwa hiyo Daudi akatoa amri wakusanyike wageni wote waliokuwa wanaishi Israeli, kutoka miongoni mwao akaweka waashi ili kuchonga mawe kwa ajili ya kujenga nyumba ya Mungu. 3 Akatoa […]
1 Mambo ya Nyakati 23
Jamaa Za Walawi Na Utendaji Wao 1 Daudi alipokuwa mzee aliyeshiba siku, akamfanya Solomoni mwanawe kuwa mfalme juu ya Israeli. 2 Pia akawakusanya pamoja viongozi wote wa Israeli, pamoja na makuhani na Walawi. 3 Walawi waliokuwa na umri wa miaka thelathini au zaidi walihesabiwa, nayo hesabu ya wanaume ilikuwa 38,000. 4 Daudi akasema, “Miongoni mwa […]
1 Mambo ya Nyakati 24
Migawanyo Ya Makuhani 1 Hii ndiyo migawanyo ya wana wa Aroni: Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari. 2 Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao, nao hawakuwa na wana, kwa hiyo ndugu zao Eleazari na Ithamari wakahudumu kama makuhani. 3 Akisaidiwa na Sadoki mwana wa Eleazari na Ahimeleki mwana wa […]
1 Mambo ya Nyakati 25
Waimbaji 1 Daudi, pamoja na majemadari wa jeshi, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya huduma hii: 2 Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa […]
1 Mambo ya Nyakati 26
Mabawabu 1 Hii ndiyo migawanyo ya mabawabu: Kutoka kwa Wakorahi alikuwa: Meshelemia mwana wa Kore, mmoja wa wana wa Asafu. 2 Meshelemia alikuwa na wana wafuatao: Zekaria mzaliwa wa kwanza, Yadiaeli wa pili, Zebadia wa tatu, Yathnieli wa nne, 3 Elamu wa tano Yehohanani wa sita na Eliehoenai wa saba. 4 Obed-Edomu naye alikuwa na […]
1 Mambo ya Nyakati 27
Vikosi Vya Jeshi 1 Hii ndiyo orodha ya watu wa Waisraeli, viongozi wa jamaa, majemadari wa maelfu, majemadari wa mamia na maafisa wao, waliomtumikia mfalme kwa lo lote lile lililohusu vikosi vya jeshi vile vilivyokuwa zamu mwezi baada ya mwezi katika mwaka mzima. Kila kikosi kimoja kilikuwa na watu 24,000. 2 Msimamizi wa kikosi cha […]
1 Mambo ya Nyakati 28
Maandalizi Ya Daudi Ya Kujenga Hekalu 1 Daudi akawaita maafisa wote wa Israeli wakusanyike huko Yerusalemu: yaani, maafisa walio juu ya makabila, majemadari wa vikosi katika utumishi wa mfalme, majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia, maafisa wanaosimamia mali zote na mifugo ya mfalme na wanawe, wakiwemo maafisa wa jumba la kifalme, mashujaa na maaskari […]
1 Mambo ya Nyakati 29
Matoleo Kwa Ajili Ya Ujenzi Wa Hekalu 1 Ndipo Mfalme Daudi akaliambia kusanyiko lote, “Mwanangu Solomoni, yeye ambaye Mungu amemchagua, ni kijana mdogo na asiye na uzoefu. Kazi hii ni kubwa, kwa sababu Hekalu hili la fahari si kwa ajili ya mwanadamu bali ni kwa ajili yaBwana. 2 Kwa uwezo wangu wote nimetoa kwa ajili […]