Daudi Atiwa Mafuta Kuwa Mfalme Wa Israeli 1 Israeli yote walimjia Daudi kwa pamoja huko Hebroni wakamwambia, “Sisi ni nyama yako na damu yako. 2 Wakati wote uliopita, hata wakati Sauli alipokuwa mfalme, wewe ndiwe uliyeiongoza Israeli vitani, nayeBwanaMungu wako alikuambia, ‘Wewe utawachunga watu wangu Israeli, na utakuwa mtawala wao.’ ” 3 Wazee wote wa […]
Category Archives: 1 Mambo ya Nyakati
1 Mambo ya Nyakati 12
Mashujaa Waungana Na Daudi 1 Hawa ndio watu waliomjia Daudi huko Siklagi, wakati alipokuwa amefukuzwa mbele ya Sauli mwana wa Kishi (walikuwa miongoni mwa mashujaa waliomsaidia Daudi vitani, 2 walikuwa na pinde na walikuwa na uwezo wa kupiga mishale au kutupa mawe kwa kombeo wakitumia mkono wa kushoto au wa kulia: hawa walikuwa ndugu zake […]
1 Mambo ya Nyakati 13
Kurudishwa Kwa Sanduku La Mungu 1 Daudi alishauriana na kila afisa wake, majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia. 2 Ndipo akaliambia kusanyiko lote la Israeli, “Kama mkiona ni vyema na kama ni mapenzi yaBwanaMungu wetu, tupeleke ujumbe kwa ndugu zetu wengine walio mbali na walio karibu katika nchi yote ya Israeli, pia kwa makuhani […]
1 Mambo ya Nyakati 14
Nyumba Ya Daudi Na Jamaa Yake 1 Basi Hiramu mfalme wa Tiro akapeleka wajumbe kwa Daudi, wakiwa na magogo ya mierezi, waashi na maseremala ili kumjengea jumba la kifalme. 2 Naye Daudi akatambua kwambaBwanaamemthibitisha kuwa mfalme juu ya Israeli na kwamba ufalme wake umetukuzwa kwa ajili ya watu wake Israeli. 3 Huko Yerusalemu Daudi akaoa […]
1 Mambo ya Nyakati 15
Sanduku La Agano Laletwa Yerusalemu 1 Baada ya Daudi kujijengea nyumba zake katika Mji wa Daudi, akatengeneza sehemu kwa ajili ya Sanduku la Mungu, kisha akasimamisha hema kwa ajili yake. 2 Kisha Daudi akasema, “Hakuna mtu ye yote anayeruhusiwa kulibeba Sanduku la Mungu isipokuwa Walawi peke yao, kwa sababuBwanaaliwachagua kulibeba Sanduku laBwanana kuhudumu mbele zake […]
1 Mambo ya Nyakati 16
Sanduku Lawekwa Ndani Ya Hema 1 Wakaleta Sanduku la Mungu na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamisha kwa ajili hiyo, wakatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani mbele za Mungu. 2 Baada ya Daudi kutoa hizo sadaka za kuteketezwa na hizo sadaka za amani, akawabariki watu katika jina laBwana. 3 Kisha akamgawia […]
1 Mambo ya Nyakati 17
Ahadi Ya Mungu Kwa Daudi 1 Baada ya Daudi kukaa kwa utulivu katika jumba lake la kifalme, akamwambia nabii Nathani, “Hebu tazama, mimi ninakaa kwenye nyumba nzuri iliyojengwa kwa mierezi, wakati Sanduku la Agano laBwanaliko ndani ya hema.” 2 Nathani akamjibu Daudi, “Lo lote ulilo nalo moyoni mwako litende, kwa sababu Mungu yuko pamoja na […]
1 Mambo ya Nyakati 18
Ushindi Wa Daudi 1 Baada ya muda, Daudi akawashinda Wafilisti na kuwatiisha, akautwaa Gathi pamoja na vijiji vinavyouzunguka kutoka katika utawala wa Wafilisti. 2 Daudi akawashinda pia Wamoabu, wakawa watumishi wake, nao wakawa wanamletea ushuru. 3 Zaidi ya hayo, Daudi akapigana na Hadadezeri mfalme wa Soba, hadi Hamathi, wakati alipokwenda kuimarisha utawala wake katika Mto […]
1 Mambo ya Nyakati 19
Vita Dhidi Ya Waamoni 1 Baada ya muda, Nahashi mfalme wa Waamoni akafa, mwanawe akaingia mahali pake kuwa mfalme. 2 Daudi akawaza, “Nitamtendea mema Hanuni mwana wa Nahashi, kwa sababu baba yake alinitendea mema.” Hivyo Daudi akatuma wajumbe ili kumfariji Hanuni kwa ajili ya kifo cha baba yake. Watu wa Daudi walipofika kwa Hanuni katika […]
1 Mambo ya Nyakati 20
Kutekwa Kwa Raba 1 Mwanzoni mwa mwaka mpya, wakati ambapo wafalme hutoka kwenda vitani, Yoabu aliliongoza jeshi. Aliangamiza nchi ya Waamoni akaenda Raba na kuuzunguka huo mji kwa Jeshi, lakini Daudi alibaki Yerusalemu. Yoabu akaushambulia Raba na kuuacha ukiwa magofu. 2 Daudi akachukua taji kutoka kwenye kichwa cha mfalme wao, uzito wake ulikuwa talanta mojaya […]