Yehoramu Atawala 1 Yehoshafati akalala na baba zake, akazikwa pamoja nao katika Mji wa Daudi, mwanawe Yehoramu akaingia mahali pa baba yake kuwa mfalme. 2 Ndugu zake Yehoramu, wana wa Yehoshafati walikuwa: Azaria, Yehieli, Zekaria, Azaria, Mikaeli na Shefatia. Hawa wote walikuwa wana wa Yehoshafati mfalme wa Israeli. 3 Baba yao alikuwa amewapa zawadi nyingi […]
Category Archives: 2 Mambo ya nyakati
2 Mambo ya nyakati 22
Ahazia Mfalme Wa Yuda 1 Watu wa Yerusalemu wakamfanya Ahazia, mdogo wa wote wa wana wa Yerohamu, kuwa mfalme mahali pa baba yake, kwa sababu washambuliaji wa ghafula waliokuwa wameingia kambini pamoja na Waarabu, walikuwa wamewaua wana wakubwa wote wa Yehoramu. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu mfalme wa Yuda akaanza kutawala. 2 Ahazia alikuwa […]
2 Mambo ya nyakati 23
Uasi Dhidi Ya Athalia 1 Katika mwaka wa saba Yehoyada akaonyesha nguvu zake. Akafanya agano na majemadari wa vikosi vya mamia: Azaria mwana wa Yehoramu, Ishmaeli mwana wa Yehohanani, Azaria mwana wa Obedi, Maaseya mwana wa Adaya na Elishafati mwana wa Zikri. 2 Wakazunguka katika Yuda yote na kukusanya Walawi na viongozi wa jamaa za […]
2 Mambo ya nyakati 24
Yoashi Akarabati Hekalu 1 Yoashi alikuwa na umri wa miaka saba alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka arobaini. Mama yake aliitwa Sibia aliyekuwa ametoka Beer-Sheba. 2 Yoashi akafanya yaliyo mema machoni paBwanamiaka yote ya Yehoyada kuhani. 3 Yehoyada akamwoza wake wawili, akazaa watoto wa kiume na wa kike. 4 Baada ya muda, Yoashi […]
2 Mambo ya nyakati 25
Amazia Mfalme Wa Yuda 1 Amazia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka ishirini na tisa. Mama yake aliitwa Yehoadani kutoka Yerusalemu. 2 Akatenda yaliyo mema machoni paBwana, lakini si kwa moyo wake wote. 3 Baada ya ufalme wote kuimarika katika milki yake, aliwaua maafisa waliomwua […]
2 Mambo ya nyakati 26
Uzia Mfalme Wa Yuda 1 Kisha watu wote wa Yuda wakamtwaa Uzia, aliyekuwa na umri wa miaka kumi na sita, nao wakamfanya mfalme mahali pa Amazia baba yake. 2 Yeye ndiye aliyejenga upya Elathi kuirudisha kwa Yuda baada ya Amazia kulala pamoja na baba zake. 3 Uzia alikuwa na umri wa miaka kumi na sita […]
2 Mambo ya nyakati 27
Yothamu Mfalme Wa Yuda 1 Yothamu alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na sita. Mama yake aliitwa Yerusha binti Sadoki. 2 Akafanya yaliyo mema machoni paBwanakama vile Uzia baba yake alivyokuwa amefanya, lakini tofauti na yeye, hakuingilia huduma za hekaluni mwaBwana. Lakini hata hivyo, watu […]
2 Mambo ya nyakati 28
Ahazi Mfalme Wa Yuda 1 Ahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala. Akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na sita. Tofauti na Daudi baba yake, hakufanya yaliyo mema machoni paBwana. 2 Akaziendea njia za wafalme wa Israeli na pia akasubu sanamu kwa ajili ya kuabudu Mabaali. 3 Akatoa sadaka za kuteketezwa katika […]
2 Mambo ya nyakati 29
Hezekia Mfalme Wa Yuda 1 Hezekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala. Akatawala huko Yerusalemu kwa miaka ishirini na tisa. Mama yake aliitwa Abiya binti Zekaria. 2 Akafanya yaliyo mema machoni paBwanasawasawa na alivyokuwa amefanya Daudi baba yake. 3 Katika mwezi wa kwanza wa mwaka wa kwanza wa kutawala kwake alifungua […]
2 Mambo ya nyakati 30
Hezekia Aadhimisha Pasaka 1 Hezekia akatuma ujumbe kuwaita Israeli wote na Yuda, pia akaandika barua kwa Efraimu na Manase, kuwakaribisha ili waje hekaluni mwaBwanahuko Yerusalemu kuadhimisha Pasaka kwaBwana, Mungu wa Israeli. 2 Mfalme na maafisa wake pamoja na kusanyiko lote katika Yerusalemu waliamua kuadhimisha Pasaka katika mwezi wa pili. 3 Kwa sababu makuhani hawakuwa wamejitakasa […]