Sehemu Za Ibada Za Kipagani Zaondolewa 1 Baada ya mambo haya yote kumalizika, Waisraeli ambao walikuwako huko wakaenda kwenye miji ya Yuda, wakayavunja yale mawe ya kuabudia na kuzikatakata zile nguzo za Ashera. Wakabomoa mahali pa juu pa kuabudia miungu pamoja na madhabahu zake kila mahali katika Yuda na Benyamini na katika Efraimu na Manase. […]
Category Archives: 2 Mambo ya nyakati
2 Mambo ya nyakati 32
Senakeribu Aitishia Yerusalemu 1 Baada ya yale yote aliyokuwa amefanya Hezekia kwa uaminifu mkubwa, Senakeribu, mfalme wa Ashuru akaja na kuivamia Yuda. Akaizunguka kwa jeshi miji yenye ngome, akifikiri kuiteka. 2 Hezekia alipoona kuwa Senakeribu amekuja na kwamba alikusudia kufanya vita juu ya Yerusalemu, 3 akafanya shauri na maafisa wake na mashujaa wake juu ya […]
2 Mambo ya nyakati 33
Manase Mfalme Wa Yuda 1 Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa muda wa miaka hamsini na mitano. 2 Akafanya yaliyo maovu machoni paBwana, akafanya machukizo kama walivyofanya mataifaBwanaaliyoyafukuza mbele ya Waisraeli. 3 Akajenga upya mahali pa juu pa kuabudia miungu ambapo Hezekia baba yake, alikuwa […]
2 Mambo ya nyakati 34
Yosia Afanya Matengenezo 1 Yosia alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka thelathini na mmoja. 2 Akafanya yaliyo mema machoni paBwanana kuenenda katika njia za Daudi baba yake, pasipo kugeuka upande wa kuume wala wa kushoto. 3 Katika mwaka wa nane wa utawala wake, alipokuwa angali bado mdogo, […]
2 Mambo ya nyakati 35
Mfalme Yosia Anaadhimisha Pasaka 1 Yosia akaadhimisha Pasaka kwaBwanakatika Yerusalemu, mwana-kondoo wa Pasaka akachinjwa siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza. 2 Akawaweka makuhani kwenye wajibu wao na kuwatia moyo katika utumishi wa Hekalu laBwana. 3 Akawaambia Walawi, waliowafundisha Waisraeli wote na ambao walikuwa wamejiweka wakfu kwa ajili ya kazi yaBwana, “Liwekeni hilo […]
2 Mambo ya nyakati 36
Mfalme Yehoahazi Wa Yuda 1 Watu wa nchi wakamchukua Yehoahazi mwana wa Yosia na kumfanya aingie mahali pa baba yake kuwa mfalme katika Yerusalemu. 2 Yehoahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitatu alipoanza kutawala, naye akatawala katika Yerusalemu kwa miezi mitatu. 3 Mfalme wa Misri akamwondoa madarakani huko Yerusalemu na akatoza Yuda kodi […]