Sheria Kwa Ajili Ya Makuhani 1 Bwanaakamwambia Mose, “Sema na makuhani, wana wa Aroni, uwaambie: ‘Kwa utaratibu wa kiibada kamwe kuhani asijitie unajisi kwa ajili ya kugusa maiti ya mtu wake ye yote, 2 isipokuwa maiti ya jamaa yake wa karibu, kama vile mama yake au baba yake, mwanawe au binti yake, ndugu yake, 3 […]
Category Archives: Mambo ya Walawi
Mambo ya Walawi 22
Matumizi Ya Sadaka Takatifu 1 Bwanaakamwambia Mose, 2 “Mwambie Aroni na wanawe kushughulikia kwa uangalifu sadaka takatifu Waisraeli wanazoziweka wakfu kwangu, ili wasilinajisi Jina langu takatifu. Mimi ndimiBwana. 3 “Waambie: ‘Katika vizazi vijavyo, ikiwa ye yote wa wazao wako ni najisi kwa taratibu za kiibada, naye akakaribia sadaka takatifu Waisraeli wanazoziweka wakfu kwaBwana, mtu huyo […]
Mambo ya Walawi 23
Sikukuu Zilizoamuriwa 1 Bwanaakamwambia Mose, 2 “Sema na Waisraeli na uwaambie: ‘Hizi ndizo sikukuu zangu zilizoamuriwa, sikukuu zilizoamuriwa zaBwana, ambazo mtazitangaza kuwa makusanyiko matakatifu. Sabato 3 “ ‘Kuna siku sita mnazoweza kufanya kazi, lakini siku ya saba ni Sabato ya kupumzika, siku ya kusanyiko takatifu. Hamtafanya kazi yo yote, po pote mnapoishi, ni Sabato kwaBwana. […]
Mambo ya Walawi 24
Mafuta Na Mikate Mbele Za Bwana 1 Bwanaakamwambia Mose, 2 “Waagize Waisraeli wakuletee mafuta safi yaliyokamuliwa ya zeituni kwa ajili ya mwanga ili kwamba taa ziwe zinawaka mfululizo. 3 Nje ya pazia la Ushuhuda ndani ya Hema la Kukutania, Aroni ataziwasha taa mbele zaBwanakuanzia jioni hadi asubuhi kwa mfululizo. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa […]
Mambo ya Walawi 25
Mwaka Wa Sabato 1 Bwanaakamwambia Mose katika Mlima Sinai, 2 “Sema na Waisraeli na uwaambie: ‘Mtakapoingia katika nchi ninayowapa ninyi, nchi yenyewe ni lazima ishike Sabato kwa ajili yaBwana. 3 Kwa miaka sita mtapanda mazao katika mashamba yenu, nanyi kwa miaka sita mtaikata mizabibu yenu matawi na kuvuna mazao yake. 4 Lakini mwaka wa saba […]
Mambo ya Walawi 26
Thawabu Ya Utii 1 “ ‘Msijitengenezee sanamu au kusimamisha kinyago cha kuchonga, mnara, wala jiwe la kuabudia, pia msijiwekee jiwe lililochongwa katika nchi yenu na kusujudu mbele yake. Mimi ndimiBwanaMungu wenu. 2 “ ‘Zishikeni Sabato zangu na kuheshimu mahali patakatifu pangu. Mimi ndimiBwana. 3 “ ‘Ikiwa mtafuata amri zangu na kuwa waangalifu kutii maagizo yangu, […]
Mambo ya Walawi 27
Kukomboa Kile Kilicho Cha Bwana 1 Bwanaakamwambia Mose, 2 “Sema na Waisraeli na uwaambie: ‘Kama mtu ye yote ataweka nadhiri maalum ili kuweka watu wakfu kwaBwana, kwa kutoa kiasi cha thamani inayolingana, 3 thamani ya mwanaume mwenye kati ya umri wa miaka ishirini na miaka sitini atakombolewa kwa shekeli hamsiniza fedha, kulingana na shekeli ya […]