Vyakula Najisi Na Visivyo Najisi 1 Bwanaakawaambia Mose na Aroni, 2 “Waambie Waisraeli: ‘Kati ya wanyama wote waishio juu ya nchi, hawa ndio mtakaowala: 3 Mwaweza kula mnyama ye yote mwenye kwato zilizogawanyika sehemu mbili na ambaye hucheua. 4 “ ‘Kuna wanyama wengine ambao hucheua tu au wenye kwato zilizogawanyika tu, lakini hao kamwe msiwale. […]
Category Archives: Mambo ya Walawi
Mambo ya Walawi 12
Utakaso Baada Ya Kuzaa Mtoto 1 Bwanaakamwambia Mose, 2 “Waambie Waisraeli: ‘Mwanamke ambaye atapata mimba na kuzaa mtoto wa kiume atakuwa najisi kwa kawaida ya ibada kwa siku saba, kama anavyokuwa najisi wakati wa siku zake za hedhi. 3 Mvulana atatahiriwa siku ya nane. 4 Kisha ni lazima huyo mwanamke asubiri kwa siku thelathini na […]
Mambo ya Walawi 13
Masharti Kuhusu Magonjwa Ya Ngozi Yaambukizayo 1 Bwanaakawaambia Mose na Aroni, 2 “Iwapo mtu ye yote atakuwa na uvimbe au upele au alama nyeupe juu ya ngozi yake ambayo yaweza kuwa ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza, ni lazima aletwe kwa Aroni kuhani ama kwa wanawe, kuhani mmojawapo. 3 Kuhani atachunguza hicho kidonda kilichopo juu ya […]
Mambo ya Walawi 14
Kutakasa Kutoka Maambukizo Ya Magonjwa Ya Ngozi 1 Bwanaakamwambia Mose, 2 “Haya ndiyo masharti yamhusuyo mtu mgonjwa wakati wa kufanyiwa ibada ya utakaso wakati aletwapo kwa kuhani: 3 Kuhani atakwenda kumchunguza nje ya kambi. Kama mtu huyo atakuwa amepona ugonjwa wake wa ngozi wa kuambukiza, 4 kuhani ataagiza vitu vifuatavyo viletwe kwa ajili ya mtu […]
Mambo ya Walawi 15
Kutokwa Na Umajimaji Usababishao Unajisi 1 Bwanaakawaambia Mose na Aroni, 2 “Semeni na Waisraeli na mkawaambie: ‘Wakati mtu ye yote anapotokwa na usaha mwilini, usaha huo ni najisi. 3 Iwe kwamba unaendelea kutiririka kutoka mwilini mwake au umeziba, utamfanya kuwa najisi. Hivi ndivyo usaha wake utakavyomletea unajisi: 4 “ ‘Kitanda cho chote atakacholala mtu mwenye […]
Mambo ya Walawi 16
Siku Ya Upatanisho 1 Bwanaakasema na Mose baada ya kifo cha wana wawili wa Aroni waliokufa walipokaribia mbele zaBwana. 2 Bwanaakamwambia Mose: “Mwambie ndugu yako Aroni asije wakati wo wote atakavyo yeye ndani ya Patakatifu pa Patakatifu nyuma ya pazia mbele ya kiti cha rehema kile kilichoko juu ya Sanduku la Agano, la sivyo atakufa, […]
Mambo ya Walawi 17
Kunywa Damu Kumekatazwa 1 Bwanaakamwambia Mose, 2 “Sema na Aroni na wanawe pamoja na Waisraeli wote uwaambie: ‘Hili ndiloBwanaaliloagiza: 3 Mwisraeli ye yote atakayetoa dhabihu ya maksai, mwana-kondoo au mbuzi ndani ya kambi au nje yake, 4 badala ya kuileta kwenye ingilio la Hema la Kukutania ili kuileta kama sadaka kwaBwanambele ya Maskani yaBwana, mtu […]
Mambo ya Walawi 18
Uhusiano Wa Kukutana Kimwili Kinyume Cha Sheria 1 Bwanaakamwambia Mose, 2 “Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Mimi ndimiBwanaMungu wenu. 3 Msifanye kama wafanyavyo huko Misri, mahali mlipokuwa mnaishi, wala msifanye kama wanavyofanya katika nchi ya Kanaani, mahali ninapowapeleka. Msifuate matendo yao. 4 Ni lazima mzitii sheria zangu, nanyi iweni waangalifu kuzifuata amri zangu. Mimi ndimiBwanaMungu wenu. […]
Mambo ya Walawi 19
Sheria Mbalimbali 1 Bwanaakamwambia Mose, 2 “Sema na kusanyiko lote la Israeli na uwaambie: ‘Iweni watakatifu kwa sababu Mimi,BwanaMungu wenu, ni mtakatifu. 3 “ ‘Kila mmoja wenu ni lazima amheshimu mama yake na baba yake, na pia ni lazima kuzishika Sabato zangu. Mimi ndimiBwanaMungu wenu. 4 “ ‘Msiabudu sanamu, wala msijitengenezee miungu ya shaba. Mimi […]
Mambo ya Walawi 20
Adhabu Kwa Ajili Ya Dhambi 1 Bwanaakamwambia Mose, 2 “Sema na wana wa Israeli: ‘Mwisraeli ye yote au mgeni anayeishi katika Israeli ambaye atamtoa ye yote miongoni mwa watoto wake kuwa sadaka kwa mungu Moleki, mtu huyo lazima auawe. Watu wa jumuiya hiyo watampiga kwa mawe. 3 Mimi nitauelekeza uso wangu dhidi ya mtu huyo, […]